Oyaa mazeee yani wadau wamenambia hata direct cost haulipi. .dah kweli hii wameijali sana, washkaj zangu wameshasajiliwa na wapo rum mda huu, tehtehteh thumb up kwa serkal ya ccm
mwana acha utan bwana, watu wasijekwenda bla direct cost halafu mambo yakawa mengine hebu tupe ukwel basi