h.imani
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 189
- 94
NAOMBA UNIJIBU NA KAMA HAKUNA BASI FUATILIA HILI. Viongoji kwa mtazamo wangu wana ubaguzi wa hali ya juu sana, hii inamaanisha na serikali kwa jumla. '' watoto wa maskini na wa matajiri inatakiwa wapewe haki sawa kwenye ELIMU.
Sio tu Wanaosoma udaktari na wanaosoma ualimu ni watoto wa maskini bali hata wanaosoma masomo ya biashara, utawala nk. sasa ubaguzi huu utaisha lini?
Wanaosoma udaktari na ualimu wanalipiwa ada, tena ikiwezekana kwa 100% kisha ajira zao wanaandaliwa kabisa. Lakini wanao soma UCHUMI na biasha mikopo hawana na wanajisomesha na pia hata ajira zake hakuna''.
Sasa limu mtaacha ubaguzi huu? ILI CCM IENDELEE KUBAKI MADARAKANI BASI iache kabisa ubaguzi wa namna hii na kuhakikisha fani zote tunapata ngazi ya degree tunapata mkopo. Kila mtu afaidi matunda ya nchi kupitia viongozi wanaolitambua hili na sio ubaguzi, kwani kila mtu ana haki ya kunufaika na raslimali fedha za nchi hii kupitia ELIMU.
Sio tu Wanaosoma udaktari na wanaosoma ualimu ni watoto wa maskini bali hata wanaosoma masomo ya biashara, utawala nk. sasa ubaguzi huu utaisha lini?
Wanaosoma udaktari na ualimu wanalipiwa ada, tena ikiwezekana kwa 100% kisha ajira zao wanaandaliwa kabisa. Lakini wanao soma UCHUMI na biasha mikopo hawana na wanajisomesha na pia hata ajira zake hakuna''.
Sasa limu mtaacha ubaguzi huu? ILI CCM IENDELEE KUBAKI MADARAKANI BASI iache kabisa ubaguzi wa namna hii na kuhakikisha fani zote tunapata ngazi ya degree tunapata mkopo. Kila mtu afaidi matunda ya nchi kupitia viongozi wanaolitambua hili na sio ubaguzi, kwani kila mtu ana haki ya kunufaika na raslimali fedha za nchi hii kupitia ELIMU.