Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

Mkuu vipi kwa waajiriwa wapya ambao hawana barua za uthibitisho kazini but wanahitaji mkopo
 
mwezi Disemba ya mwaka upi?
 
fafanua vizuri mkuu inaenda ikipungua kivip
 
Mkuu kwa elimu fupi tu nini maana ya ku top up mkopo?? Na je unaweza kwenda benk kam una mkopo ukataka waongeze pesa wanayo kata ili kupunguza mda wa kuisha kama 1/3 inakubali inaweza kufanyika???
 
Karibuni EDNEY CREDIT mpate mikopo ya dharura marejesho hayazidi miezi 6 kwa riba nafuu. 100,000 hadi 1,000,000
 
NMB wasumbufu Sana. Maloan officer wanaringa, wasumbufu na wanapenda kuachiwa hela kidogo. Watabakia na wafanyakaz wachache Sana kwasababu hawataki kubadilika kuendana na ushindani wa kibiashara. Mtu unakopa ila unanyanyaswa unadhan unaomba msaada.
Exactly yamenikuta Tunduma-Branch
 
PASS 2% inaenda Kufanya nini huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…