Wanajamii, kwa wale wenye uelewa mzuri kuhusu hizi taasisi za kifedha,ni ipi hasa inatoa mkopo mzuri na kwa riba kidogo?
Swali lingine ni utaratibu wa paying off loan, yaani ulichukua mkopo baada ya miezi au miaka imepita ukapata pesa ukaamua kwenda kuwarudishia pesa zao Benki kabla muda wa kurejesha mkopo haujaisha,je,utalipa pesa yote uliyokuwa unadaiwa kwa kwa kipindi chote cha mkopo au kuna utaratibu gani?
Kashfa na matusi hakuna nafasi yake humu, nawaomba utaalamu wenu Great Thinkers.
Swali lingine ni utaratibu wa paying off loan, yaani ulichukua mkopo baada ya miezi au miaka imepita ukapata pesa ukaamua kwenda kuwarudishia pesa zao Benki kabla muda wa kurejesha mkopo haujaisha,je,utalipa pesa yote uliyokuwa unadaiwa kwa kwa kipindi chote cha mkopo au kuna utaratibu gani?
Kashfa na matusi hakuna nafasi yake humu, nawaomba utaalamu wenu Great Thinkers.