Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
Nikishakutana na mtu anasali makanisa ya kilokole namuacha hapo hapoNa sadaka ya kujimaliza nayo ndoa nyingi chali
Sio lazima mtoto aishi kwenye nyumba waliyojenga, wakapange."Serikali hatutakubali, huyu mtoto kwa sasa anaathirika kimwili na kisaikolojia, naagiza kama kiongozi wa Serikali mwenye mamlaka, huyu Mkwizu anatakiwa ajenge hii nyumba ndani ya wiki mbili, kama ana hasira basi anaweza kumuacha huyu mwanamke na madeni yake,” alisema
Serikali haitaki watoto wateseke, ni hii ja Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Wanawake wa kizazi hiki wana mentality za usumbufu sana. Unaweza kuwa unampatia mahitaji yake ya chakula, mavazi, na sehemu nzuri tu ya kulala na kuweka matako yake.Hivi mtu anakopa ili iwe nini yani? [emoji3] Kama unakula
25Wanawake wa kizazi hiki wana mentality za usumbufu sana. Unaweza kuwa unampatia mahitaji yake ya chakula, mavazi, na sehemu nzuri tu ya kulala na kuweka matako yake...
Sio lazima mtoto aishi kwenye nyumba waliyojenga, wakapange.
Ningekuwa huyo jamaa nawaacha nasepa mkoa mwingine
Eti mama lishe usiku, hata kama ni wale wanaokaa barabarani huwa mapema sana wanakuwa wamefunga hata saa nane haifiki. Maana katika hali ya kawaida nani atatafuta chakula nje ya chipsi saa nane za usiku.Mkuu unauliza nn hapo? Huoni huyo Mke wa Jamaa anajiuza kitambooo !!.
Na anajiuza ili alipe madeni ya watu.
Ukiona mwanamke mkeo au Mpenzi, anafanya Matumizi ya Fedha ,na ukopaji wa Pesa kimya kimya bila kukushirikisha.
Mpige marufuku, akishupaza shingo achana naye.
Huwa Kuna wakati wanaweka Rehan Mali zenu ,Kwa ubinafsi wake.
Anajifanya kama haoni kuwa huyo dada alikuwa ana yake anafanya.Mtendaji wa kata anampa kijana wiki mbili awe amesimamisha nyumba [emoji1] ningekuwa ndio mimi ningemuuliza kama yeye anaweza
Na huu ndio ujinga ambao mimi huwa siuelewi. Kuna binti tulivutana hivi , ni pisi kali, na alikuwa anafanya kazi. Sasa nikamwambia njoo tuishi pamoja yaani unajua ile ya kulianzisha maana hakuna namna.25
Wanafunganaga mota za usupa woman [emoji3] yani fashion ni kuwa na biashara hata kama haiwezi atalazimisha tu.
Huyo demu ni fala hapo alipokuwa anakomaa akae mwenyewe ni vile anajua atakosa uhuru wa kubadilisha mabwana ila kisingizio ni oh sijatimiza ndoto zangu. Kwani ndoto zake haziwezi timia mkiishi wote kwamba wewe utazuia mafanikio yake ama? 😀Na huu ndio ujinga ambao mimi huwa siuelewi. Kuna binti tulivutana hivi , ni pisi kali, na alikuwa anafanya kazi. Sasa nikamwambia njoo tuishi pamoja yaani unajua ile ya kulianzisha maana hakuna namna.
Nashangaa manzi anakwepa kwepa hilo swala. Yeye anataka awe na sehemu yake. Na alichonambia ni kuwa yeye anavitu vyake kwanza anataka afanye kwanza ili kutimiza ndoto zake sababu akiingia kwenye mahusiano ndoto hazitatimia.
Nikaona huyu kishalishwa sumu na mafeminist wacha nikaushe tu, maana mahusiano ya kulazimisha mtu ndio matokeo yake baadae mnaanza kusumbuana vichwa.
Tukawa tumebakia kuwasiliana tu. Mara ya kwanza nilichezea kirungu cha 100,000 mwaka jana 2022 mwezi wa pili akiahidi kunirejeshea miezi miwili ijayo. Hadi hapa ninavyoandika nadhani unakaribia mwaka sijaona hata mia ya ile laki yangu na kajikausha kimya haongelei chochote.
Mwaka jana huo huo kuna siku nilimpigia simu nikaongea nae akawa anashindwa kunambia tu ila alisema gesi imekata na anawaza hana mbinu. Nikajitoa kumwambia amwambie yule mleta gesi amletee kisha anambie nimtumie akafanya hivyo nikamtumia akasolve issue ya gesi.
Sasa tupo tu kwenye point hana cha kunambia na mimi namtazama tu kuwa kwa hizi akili kweli wanawake wa sasa ni mzigo kwenye maisha ya mwanaume.
Sasa wewe unaishi huko mbali na mimi nakuita uje tuunganishe nguvu tupambane na life wewe unakinzana halafu maisha yanakuzidi nguvu unataka mimi niwe nasimamia bill, huo ni upumbavu wa aina gani hivi jamani?
Ukiachana na huyo dada kusimamisha nyumba ndani ya wiki 2 kwa mmachinga ataweza wapi au labda kama ni ya mitiAnajifanya kama haoni kuwa huyo dada alikuwa ana yake anafanya.
Ukiachana na huyo dada kusimamisha nyumba ndani ya wiki 2 kwa mmachinga ataweza wapi au labda kama ni ya miti