Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Nilikuwa nakazia kutokana na swali uliloulizwa na Mdau, hata hivyo katika Uzi wako unadai hali ngumu ya sasa imesababishwa na Mikopo iliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano kwenye Taasisi za Fedha za ndani ya Nchi bila kuleta ushahidi hapa.

Hali ngumu ni pamoja na tatizo la Umeme lililopo, ndiyo maana umeulizwa kuwa hata hili tatizo sababu ni hiyo? Lakini pia unatakiwa kujua kuwa hata ukichukua Mikopo kwa hao Wazungu bado utatakiwa kulipa.

Kama unafuu wa Maisha unatokana na kunyenyekea na kupiga magoti kwa Wazungu basi usingelalamika hapa kuwa kuna hali ngumu ilihali Serikali iliyopo imechukua Mikopo huko kwa hao unawaona bora.

Kipi bora kukopa kwenye Taasisi za nje na kuwabana Wanamchi wa hali ya chini kulipa Kodi ikiwemo Tozo kwenye Miamala na Kodi ya Jengo kupitia LUKU au kukopa kwenye Taasisi za ndani bila kuwabana Wanamchi wa hali ya chini?
We jamaa! Ina maana bora ukope nmb kuliko world bank?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Kama ni K we ni ile isiyo chimba kishimo ukikojoa kwenye mchanga
 
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Weka namba ya simu, kwa Waziri wa Kilimo kuna kazi
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Mungu alishaamua ugomvi tumshukuru. Tungekuwa tunaishi km jehanamu. Ni vilaza waliopumbazwa ndio wanaweza kumsifu huyo marehemu wao. Yule alikuwa zaidi ya shetwani, hii nchi isingekalika. Ktk Rais ambaye jeshi lingefikiria kumpindua alikuwa Magufuli
 
Magufuli alaikua hashauriwi mbona ilikua wazi
Haiwezekani mkuu. Labda ukisema alokuwa akikaa meza nao,walikuwa kwanza wanaweka mambo sawa. Raisi hawezi kulala,usiku achukue maamuzi yake,kesho yake atangaze. Uongozi wa nchi,ni tofauti sana na kampuni ndogo ya Sinza. Kwani akifanya aliloamua bila kuwashilikisha wahusika,pesa au support atatowa wapi?
Labda walio karibu nae,wanajua. Uwezo huo hana. Ila kwa sababu anaheshimika,anaelekezwa.
 
Ila binadamu viumbe wa ajabu. Mnaridhishwa na nini? Leo hii kilio cha foleni zisizoisha,kimeisha. Sasa madaraja ndo yamekuwa shida. Kwa hiyo,aliyekopa hakujua atalipaje?

Au aliyekaimu ndo hajui mbinu za kulipa! Maana tujuavyo,kiongozi wankweli hawezi kulalamika kwamba nilikuta deni lilishachukuliwa!
Watu sisi hatuna shukrani mimi pia nilitaka kusema hili aliyekopa alijua atalipaje ni bahati mbaya MUNGU kamchukua lakini matunda ya kazi zimeonekana na Nafuu kwa wananchi imepatikana ni vile hatuna jema🙌
 
Watu sisi hatuna shukrani mimi pia nilitaka kusema hili aliyekopa alijua atalipaje ni bahati mbaya MUNGU kamchukua lakini matunda ya kazi zimeonekana na Nafuu kwa wananchi imepatikana ni vile hatuna jema🙌
Siku zote kila gari na dereva wake,na abilia tu ndo huweza kutambua uendeshaji wa dereva. Aliyeachwa,labda kachelewa,gari imejaa,au sababu nyingine,lazima atalalamika. Na kamwe hutapata binadamu anaependwa asilimia zote,au anaechukiwa asilimia zote.
Ukweli unauma. Ila walio wengi wanaompinga, ni watu wazima,wenye hasira za kushushwa,huku walikuwa wamepaa kwa dhuluma na mambo mengine mengi ya aibu. Pole zao lakini.
Ila, inasikitisha sana. Kwa vitu macho anavyoona. Na yeye kwanza hastahili kulipa. Alifanya kile kilichokuwa kinahitajika kutatua changamoto,badhi zimetatuliwa,matumizi yake,yakiwa mazuri,yanatosha kulipa deni.
 
Sijasema sifi,ila kifo changu hakitaleta nafuu kwa wengi kama taifa lilivyopata nafuu kwa kifo cha yule dhalim.
Ni kweli maana majizi yote yamerudi, mgao wa umeme umerudi,madawa ya kulevya na mateja yamerudi,mfumuko wa bei za vyakula, mafuta n.k, kifupi takataka zote zimerudi nahisi hata wenye vyeti feki wanaweza kuwa wamerudi kazini wengine, kwanini asiwe dhalimu kwa watu kama hawa waliokuwa wamezoea kuisha kwa dhulma?!
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Maza Ako yy anakopa wapi pesa?
 
Haiwezekani mkuu. Labda ukisema alokuwa akikaa meza nao,walikuwa kwanza wanaweka mambo sawa. Raisi hawezi kulala,usiku achukue maamuzi yake,kesho yake atangaze. Uongozi wa nchi,ni tofauti sana na kampuni ndogo ya Sinza. Kwani akifanya aliloamua bila kuwashilikisha wahusika,pesa au support atatowa wapi?
Labda walio karibu nae,wanajua. Uwezo huo hana. Ila kwa sababu anaheshimika,anaelekezwa.
Magufuli alikua anaongoza nchi bila kufuata ushauri wa yeyote in short alikua dikteta
 
Magufuli alikua anaongoza nchi bila kufuata ushauri wa yeyote in short alikua dikteta
Hilo silielewi,ila,niulize. Serikali haina washauri? Hasa raisi mwenyewe. Kama hawapo,ni tatizo. Kama wapo na uwezo huo hawana,basi hili nalo zito. Hiyo si sawa na wakili kupindisha sheria?
Nadhani mpaka jambo lipite,anakuwa ameweza kuwashawishi na kuwahakikishia matokeo mazuri,na wakiridhia,wanampa go ahead
 
Kwa hayo machungu mkaamua kuuza nchi kwa Waarabu,hakika bora aliyekopa kutujengea barabara kuliko aliyetuuza.
 
Hata bei ya sukari, nafikri serikali imeweka Kodi yake pale,
Kule Kenya, katika kila shilingi 10,shilingi 7 inaenda kulipa madeni! Deni Lao ni Ksh tilioni 11,tilioni 5 za nje, tilioni Sita za ndani,
Sasa namuelewa Ruto, kwanini anataka apereke polisi Haiti, ni bora wakafie huko lakini nchi ipate maokoto
 
Back
Top Bottom