Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

Umepata ngapi na ulichoomba ndicho ulichopata, maana nasikia waombaji mkiwa wengi mnagawana mkopo ilimradi kila mmoja apate kidogokidogo
 
Mwezi mmoja boss.....nimekunja mpunga wangu....mpunga Haina riba....unarudisha uliopewa....kifupi mshahara wako unapewa advance ya nusu ya mshahara wako....yaani unalipwa miaka SITA ijao nusu ya mshahara wako
Nshajisajil hazina na pal process za kuomb Zipo n kujaza na kusubmitt sasa Halmashauri yang ad sasa cjaon tangazo lolote je naweza omba nkafanikiwa kwa maana taarfa zkaenda kwa HR kimfumo?

Je ile sifa ya kuwa kupewa huu mkopo hutakiw kuwa na mkopo mwingine ipoje??
 
Wakikujibu naomba unitag na Mimi nahitaji kujua maana Nina kimeo nmb[emoji3064][emoji3064]
 
Wameweka sharti la 1/3 kuwaengua TGTS maana wanatajwa kuwa madeni mengi
 
Mwezi mmoja boss.....nimekunja mpunga wangu....mpunga Haina riba....unarudisha uliopewa....kifupi mshahara wako unapewa advance ya nusu ya mshahara wako....yaani unalipwa miaka SITA ijao nusu ya mshahara wako
Unavyosema nusu ya mshahara unamaanisha Nini?

Kama mshahara wangu ni 1m yaani laki 5 nalipa huo mkopo?

Au unachukua kiasi Cha mkopo gawanya kwa miaka 6 (miezi 72)?


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu barua ya pili uliyoweka iko Classified as Confidential, siyo poa kabisa. Lkn kweli unakopesheka weka salary slip yako tujue nani mwenye shida wewe au hao Viongozi wako.
 
Mkuu barua ya pili uliyoweka iko Classified as Confidential, siyo poa kabisa. Lkn kweli unakopesheka weka salary slip yako tujue nani mwenye shida wewe au hao Viongozi wako.
mbona unabwabwaja? confidential nini?! mbona hayo mabarua yapo watasap
 
Mkuu barua ya pili uliyoweka iko Classified as Confidential, siyo poa kabisa. Lkn kweli unakopesheka weka salary slip yako tujue nani mwenye shida wewe au hao Viongozi wako.
wapi imeandikwa kama confidential?
 
mbona unabwabwaja? confidential nini?! mbona hayo mabarua yapo watasap
Sawa Nurse endelea na mtindo wako wa Maisha uliyochagua kwenye Utumishi. Am sorry kukushauri. Nimefuta kauli uko sahihi kwa kila jambo.
 
Naungana na wewe kwenye hoja ya kuimalisha mifumo. Kiukweli hivi vijamaa vinayoitwa afisa utumishi kwa baadhi ya maeneo ni kero tu. Hivi vijamaa ni kama vimesomea kuomba rushwa na kama kweli elimu waliyoipata ndio hiyo basi kwa sasa vingi vina PHD ya kuomba rushwa na kupiga tarehe wateja wao wanaowahudumia.

Lakini bado nashaka na hili la mifumo maana ninaona baadhi ya vipengele vinawahusu hawa maafisa utumishi na kuendelea kwao kuhusika yawezekana vikaja kusema mifumo ni usumbufu na kuishauri serikali kuifuta ili viendelee na system ya upigaji wanyonge.
 
Shida sio halmashauri, Ni hazina wenyewe, kwa nini wasitangaze kuwa kuwa kuna mikopo, waorodheshe halmashauri zote fedha zilizopo na masharti ya kupata na deadline, hii mikopo Ipo miaka mingi Ila nauhakika 90% ya watumishi wa umma hawajawahi kuisikia, Ni kakundi ka watu kanajitangazia na kujikopesha
 
Mpaka watoe tangazo halmashauri Yako....kujisajili jambo Moja na halmashauri Yako kuingia mtandaoni ni jambo lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…