Mikopo ya mitandaoni ilitaka iniue

Mikopo ya mitandaoni ilitaka iniue

Hello
Mwaka jana sokumbuki tarehe nilikopa 42k app ya M loan, marejesho 56k kwa wiki. Nilikuwa nina dharura kidogo. Mimi ni mtumishi mwenye mshahara na posho sina shida kivile sema hii ilitokea tu.
Jamaa siku ya 5 wakataka pesa yao nikakombana nao kwa kuwaambia hawako fair. Nikawajibu nitawalipa siku nikipenda Mimi hata kama Kuna penalty nitailipa lakini ile siku sikuwa tayari kuwalipa maana siku 7 bado hazijatimia. Kama kuwalipa ni option yangu sio kunilazimisha.
Kweli wale wadada ni washenzi, hawana utu .
Dk chache tu simu za ndugu, marafiki, workmates n k zikaanza kumiminika na kuulizwa vipi naona matapeli sijui wametuma sms kuwa unadaiwa. Phone book yangu ina majina karibu elfu 2 nikaona hapa nizime simu nikalipa deni . Ilichukua mwezi hivi kukaa sawa.
Nikasema ngoja nitumie hii mikopo kama fursa. Benki naweza kukopa millioni hata 20 ila mda wa kukopa benki sikukusudia uwe hivi karibuni.
Nikasema hii mikopo riba yake ni kubwa na Mimi kutunza fedha ni ngumu, kwakweli nina biashara fulani hapa mjini inanipa pesa nzuri ila matumizi mengi.
Nikasema ngoja nikope.
Nakopa kwenye app fulani mbili kila wiki napata million hivi nafanyia jambo , narudisha pesa kiroho safi. Nimefanya mambo mengi ya future. Nimenunua viwanja 5 Dar es salaam kwa muda mfupi. Nikawa busy na kusaka pesa kuliko wakati wowote.
Hakuna dili taliacha salama.
Nimewapa faida kubwa hizi app 2 ila zimenichochea maendeleo.
Ikafika wakati deni kubwa pesa za biashara kidogo nikaanza kukopa huku kulipa kule huku nami nikiongeza pesa yangu. Ikawa mshahara ni kama tone la maji tu kwenye ndio, posho ikawa tone tu. Mshahara wa machi na April sikupata madeni ya online yakataka kunitoa roho. Jamaa wanakera.
Nikaomba mkopo benki nimalizane na Hawa jamaa hatua ya mwisho mkopo ukabuma, kulikuwa na tatizo kiufundi si mnajua mambo ya benki hata kikosa kiwe kidogo vipi pesa hupati. Nilipagawa aisee.
Deni likafika kama millioni 5 kasoro. Kila siku simu kama zote . Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online 🦈 sharks.
Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.
Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. Aisee niliiona Dunia chungu.
Hii mikopo isipodhibitiwa mapema watu watakuwa matahira, wengine watajinyonga.
Mtumishi mwenye mshahara ila posho huna = Mwalimu Mpamile
 
Chai
 

Attachments

  • FB_IMG_1721294982956.jpg
    FB_IMG_1721294982956.jpg
    17.3 KB · Views: 10
Lengo kuu ni hapa kwenye

"Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online 🦈 sharks.
Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.
Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. "


Vipi waje PM!? 😄 🤣 😂
 
Hello

Awali ya yote hili si Tangazo, sihitaji pesa ya mtu hapa. Maana kuna watu humu wanarukia rukia mambo.

Mwaka jana sokumbuki tarehe nilikopa 42k app ya M loan, marejesho 56k kwa wiki. Nilikuwa nina dharura kidogo. Mimi ni mtumishi mwenye mshahara na posho sina shida kivile sema hii ilitokea tu.

Jamaa siku ya 5 wakataka pesa yao nikakombana nao kwa kuwaambia hawako fair. Nikawajibu nitawalipa siku nikipenda Mimi hata kama Kuna penalty nitailipa lakini ile siku sikuwa tayari kuwalipa maana siku 7 bado hazijatimia. Kama kuwalipa ni option yangu sio kunilazimisha. Kweli wale wadada ni washenzi, hawana utu.

Dk chache tu simu za ndugu, marafiki, workmates n k zikaanza kumiminika na kuulizwa vipi naona matapeli sijui wametuma sms kuwa unadaiwa. Phone book yangu ina majina karibu elfu 2 nikaona hapa nizime simu nikalipa deni . Ilichukua mwezi hivi kukaa sawa.

Nikasema ngoja nitumie hii mikopo kama fursa. Benki naweza kukopa millioni hata 20 ila mda wa kukopa benki sikukusudia uwe hivi karibuni.
Nikasema hii mikopo riba yake ni kubwa na Mimi kutunza fedha ni ngumu, kwakweli nina biashara fulani hapa mjini inanipa pesa nzuri ila matumizi mengi.

Nikasema ngoja nikope. Nakopa kwenye app fulani mbili kila wiki napata million hivi nafanyia jambo , narudisha pesa kiroho safi. Nimefanya mambo mengi ya future. Nimenunua viwanja 5 Dar es salaam kwa muda mfupi. Nikawa busy na kusaka pesa kuliko wakati wowote.

Hakuna dili taliacha salama.
Nimewapa faida kubwa hizi app 2 ila zimenichochea maendeleo.
Ikafika wakati deni kubwa pesa za biashara kidogo nikaanza kukopa huku kulipa kule huku nami nikiongeza pesa yangu. Ikawa mshahara ni kama tone la maji tu kwenye ndio, posho ikawa tone tu. Mshahara wa machi na April sikupata madeni ya online yakataka kunitoa roho. Jamaa wanakera.

Nikaomba mkopo benki nimalizane na Hawa jamaa hatua ya mwisho mkopo ukabuma, kulikuwa na tatizo kiufundi si mnajua mambo ya benki hata kikosa kiwe kidogo vipi pesa hupati. Nilipagawa aisee.

Deni likafika kama millioni 5 kasoro. Kila siku simu kama zote . Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online 🦈 sharks.

Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.

Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. Aisee niliiona Dunia chungu. Hii mikopo isipodhibitiwa mapema watu watakuwa matahira, wengine watajinyonga.
Hatari
 
Uandishi huu hauna tofauti na mganga nanejinasibu anatibu magonjwa yote mtandaoni ukimuelezea tatizo lako anakwambia nifate ofisini au mfanyabiashara anaejitangaza vizuri ila hakuweka bei anasubir afwate dm
 
Lengo kuu ni hapa kwenye

"Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online [emoji1655] sharks.
Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.
Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. "


Vipi waje PM!? [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Nishamsanukia kitambooo
 
Hello

Awali ya yote hili si Tangazo, sihitaji pesa ya mtu hapa. Maana kuna watu humu wanarukia rukia mambo.

Mwaka jana sokumbuki tarehe nilikopa 42k app ya M loan, marejesho 56k kwa wiki. Nilikuwa nina dharura kidogo. Mimi ni mtumishi mwenye mshahara na posho sina shida kivile sema hii ilitokea tu.

Jamaa siku ya 5 wakataka pesa yao nikakombana nao kwa kuwaambia hawako fair. Nikawajibu nitawalipa siku nikipenda Mimi hata kama Kuna penalty nitailipa lakini ile siku sikuwa tayari kuwalipa maana siku 7 bado hazijatimia. Kama kuwalipa ni option yangu sio kunilazimisha. Kweli wale wadada ni washenzi, hawana utu.

Dk chache tu simu za ndugu, marafiki, workmates n k zikaanza kumiminika na kuulizwa vipi naona matapeli sijui wametuma sms kuwa unadaiwa. Phone book yangu ina majina karibu elfu 2 nikaona hapa nizime simu nikalipa deni . Ilichukua mwezi hivi kukaa sawa.

Nikasema ngoja nitumie hii mikopo kama fursa. Benki naweza kukopa millioni hata 20 ila mda wa kukopa benki sikukusudia uwe hivi karibuni.
Nikasema hii mikopo riba yake ni kubwa na Mimi kutunza fedha ni ngumu, kwakweli nina biashara fulani hapa mjini inanipa pesa nzuri ila matumizi mengi.

Nikasema ngoja nikope. Nakopa kwenye app fulani mbili kila wiki napata million hivi nafanyia jambo , narudisha pesa kiroho safi. Nimefanya mambo mengi ya future. Nimenunua viwanja 5 Dar es salaam kwa muda mfupi. Nikawa busy na kusaka pesa kuliko wakati wowote.

Hakuna dili taliacha salama.
Nimewapa faida kubwa hizi app 2 ila zimenichochea maendeleo.
Ikafika wakati deni kubwa pesa za biashara kidogo nikaanza kukopa huku kulipa kule huku nami nikiongeza pesa yangu. Ikawa mshahara ni kama tone la maji tu kwenye ndio, posho ikawa tone tu. Mshahara wa machi na April sikupata madeni ya online yakataka kunitoa roho. Jamaa wanakera.

Nikaomba mkopo benki nimalizane na Hawa jamaa hatua ya mwisho mkopo ukabuma, kulikuwa na tatizo kiufundi si mnajua mambo ya benki hata kikosa kiwe kidogo vipi pesa hupati. Nilipagawa aisee.

Deni likafika kama millioni 5 kasoro. Kila siku simu kama zote . Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online 🦈 sharks.

Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.

Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. Aisee niliiona Dunia chungu. Hii mikopo isipodhibitiwa mapema watu watakuwa matahira, wengine watajinyonga.
Nliamua kutowalipa baada ya wao kuamua kunidhalilisha, kila jamaa wa karibu akinpigia sim namwambia matapeli wametapeliwa achana nao
 
Hello

Awali ya yote hili si Tangazo, sihitaji pesa ya mtu hapa. Maana kuna watu humu wanarukia rukia mambo.

Mwaka jana sokumbuki tarehe nilikopa 42k app ya M loan, marejesho 56k kwa wiki. Nilikuwa nina dharura kidogo. Mimi ni mtumishi mwenye mshahara na posho sina shida kivile sema hii ilitokea tu.

Jamaa siku ya 5 wakataka pesa yao nikakombana nao kwa kuwaambia hawako fair. Nikawajibu nitawalipa siku nikipenda Mimi hata kama Kuna penalty nitailipa lakini ile siku sikuwa tayari kuwalipa maana siku 7 bado hazijatimia. Kama kuwalipa ni option yangu sio kunilazimisha. Kweli wale wadada ni washenzi, hawana utu.

Dk chache tu simu za ndugu, marafiki, workmates n k zikaanza kumiminika na kuulizwa vipi naona matapeli sijui wametuma sms kuwa unadaiwa. Phone book yangu ina majina karibu elfu 2 nikaona hapa nizime simu nikalipa deni . Ilichukua mwezi hivi kukaa sawa.

Nikasema ngoja nitumie hii mikopo kama fursa. Benki naweza kukopa millioni hata 20 ila mda wa kukopa benki sikukusudia uwe hivi karibuni.
Nikasema hii mikopo riba yake ni kubwa na Mimi kutunza fedha ni ngumu, kwakweli nina biashara fulani hapa mjini inanipa pesa nzuri ila matumizi mengi.

Nikasema ngoja nikope. Nakopa kwenye app fulani mbili kila wiki napata million hivi nafanyia jambo , narudisha pesa kiroho safi. Nimefanya mambo mengi ya future. Nimenunua viwanja 5 Dar es salaam kwa muda mfupi. Nikawa busy na kusaka pesa kuliko wakati wowote.

Hakuna dili taliacha salama.
Nimewapa faida kubwa hizi app 2 ila zimenichochea maendeleo.
Ikafika wakati deni kubwa pesa za biashara kidogo nikaanza kukopa huku kulipa kule huku nami nikiongeza pesa yangu. Ikawa mshahara ni kama tone la maji tu kwenye ndio, posho ikawa tone tu. Mshahara wa machi na April sikupata madeni ya online yakataka kunitoa roho. Jamaa wanakera.

Nikaomba mkopo benki nimalizane na Hawa jamaa hatua ya mwisho mkopo ukabuma, kulikuwa na tatizo kiufundi si mnajua mambo ya benki hata kikosa kiwe kidogo vipi pesa hupati. Nilipagawa aisee.

Deni likafika kama millioni 5 kasoro. Kila siku simu kama zote . Nikaanza kusoma YouTube jinsi ya kupambana na hawa online 🦈 sharks.

Nikawadhibiti. Nilifanya utafiti wa kutosha huku nikijua na wao wanajitahidi kupambana kwa njia mpya shilingi yao hata moja isipotee.

Mwisho wa siku nikawadhibiti.
Naishi kwa amani sasa. Aisee niliiona Dunia chungu. Hii mikopo isipodhibitiwa mapema watu watakuwa matahira, wengine watajinyonga.
Mkuu financial literacy yako iko chini sana.
 
Hivi hawa wanao kopesha watu mitandaoni wako sawa kiakili? Unampa mtu hela hujui atarudisha vip?

Ukibadilisha laini?
 
Baadhi ya watanzania ndio hata taasisi za fedha ngumu kuwaamini kuwakopesha
Mhindi akiingia benki kukopa mdani ya nudu saa hata akikopa mabilioni anapewa sababu ni walipaji wazuri

Mswahili ujanja mwingi Kukopa akope yeye kukopa harusi kulipa matanga

Huwezi kopa bila kusoma masharti na kukubaliana na masharti iwe mikopo ya mitandaoni au nje ya kusajikiwa au mtaani

Sasa mtu masharti anakubali ukimkopesha kulipa anaanza kupiga chenga

Ndio maana hata mitaani kuna mtu aweza zunguka mtaa mzima au akapigia ndigu wote au kazini wamkopeshe elfu 10 tu hapati

Hii tabia ya kukopa na kuwa mkorofi kwenye kulipa sio nzuri

Mleta mada na wenye mawazo kama yako hamko sahihi.
 
Hawa tumewapiga sana kuanzia TALA,Pesa X,mkopo fasta ..... Ila uwe mvumilivu wa kupigiwa simu maana ni kila baada ya nusu saa,pia wana lugha za kutisha kinyama lkn nikawa nawajibu kistaarabu . hivi Sasa naona wamesha tubu
 
Hawa tumewapiga sana kuanzia TALA,Pesa X,mkopo fasta ..... Ila uwe mvumilivu wa kupigiwa simu maana ni kila baada ya nusu saa,pia wana lugha za kutisha kinyama lkn nikawa nawajibu kistaarabu . hivi Sasa naona wamesha tubu
Mtu kama wewe una pepo la umaskini ukitajirika niite mbwa
.kutajirika kuna kanuni zake mojawapo ni kukopa na kulipa bila longolongo au 8janja ujanja
 
Back
Top Bottom