Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 1,226
- 1,757
Umenichekesha kwa kauli hii "nikasolve ugomvi na wife".Inamaanisha mkeo mkali kiasi kwamba ukikosa hela ya gesi hapakaliki? Kama ni hivyo balaa[emoji23]Naomba kuelezwa kuhusu hii mikopo ya simu je unaweza kufanya kitu cha maana kwenye hii mikopo ya simu!!!
Naona kama riba ni kubwa kidogo ingawa kuna muda inasaidia
Mfano mi jana gesi imeisha nikakopa kwenye simu[emoji23][emoji23]Nikasolve ugomvi na mke wangu!!
Sasa nauliza kama kuna kitu cha maana unaweza ufanyia mfano kupata hapa milion 1
hivi