Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi yao. Mfano mchungaji anapotaka gari anawaomba waumini wake wachangie pesa kwaajili ya gari ya mchungaji. Lakini muumini akitaka gari mchungaji anamwambie amuombe mungu atampatia gari, ila yeye mchungaji aliomba waumini na sio Mungu! Ni wachache lakiniToa taarifa kituo cha polisi haraka sana, maana kuanzia sasa muda wowote unaweza kujitoa uhai
Na hii hali ikiendelea unaweza kuwaona hadi viongozi wako wa dini nao ni wanafki tu
Hii vita ya kiroho unayozungumza ni ipiAkili za darasani ni tofauti na akili za mtaani, Inawezakana kabisa ukawa vizuri darasani Ila ukawa vibaya mtaani maana mungu hakupi vyote ,.
Na pia Mafanikio ya mtaani Yana mambo mengi sana, hivyo kwa nyinyi wasomi ndomana inawawia vigumu kwa baadhi yenu maana mnategemea hasa akili zenu za darasani wakati mafanikio yana mchanganyiko wa mambo mengi.
Mtaani kunahitaji kujilipua sana na kutambua ili ufanikiwe unahitaji kupigana kwanza vita ya kiroho na ushinde ,bila hivyo mafanikio utayasikia kwa wenzio maana hakuna ambaye atakubali kukuacha na goli kipa ushinde kirahisi ,Utawekewa kila aina ya mabeki wakukabe kuhakikisha uchomoki kamwe
Shule ni kwa ajili ya wajinga.Matajiri wengi duniani ni college drop out
SureShule ni kwa ajili ya wajinga.
[emoji2][emoji2] af kwa kuwa ulikuwa kipanga darasan, ukafaulu kila unaekutana nae anajua una bonge la kaz pahara lazma aulize, wengine masnich tu anajua kila kitu bt anakuuliza makusud akutibue.
Mie naamin kufanikiwa kupo tu, Kama sio leo kesho.
Mie nmekuwa nkipata Hera tatzo haztunzik, zkija ndio macho yako yanaona vi Heineken na nyama choma. Nmeamua kukatilia mbali kila aina ya starehe nione ndan ya mwaka ntakuwa wapi?
Hivi hujui kama Kuna ku reseatYaani leo mtu ni nesi,mfamasio, Clinical officer alafu alifeli mtihani,,Inawezekana vp?Au kufeli uko n kwa namna gan?