Mikosi au wakati wetu haujafika?

Mikosi au wakati wetu haujafika?

Kufanikiwa ni jambo la ajabu unaweza ukajaribu vitu vingi usifanikiwe ila unaweza jaribu kitu kimoja ukafanikiwa na ndio ikawa shughuli/ kazi yako.

Ukweli ni kwamba drop out kutoka shule wengi wanakua wamepiga hatua maana wanakua wanajua wafanye nini kwa jamii wapate pesa. Wana taarifa zote kuhusu soko na bidhaaa.

Kufanikiwa kunaitaji watu, wakupe maarifa, wakupe bidhaa, wakupe wateja. Changamoto ni watu hao unawapata vipi basi.
Nakubali mkuu [emoji110]
 
Humu ndani kumejaa motivational speakers tu endeeleen kumfariji mwana
 
Robert kiyosaki ameliongelea sana jambo hili kwenye kitabu cha "Be rich & happy",
Na ameelezea kwa nin wasomi wana mafanikio ya kawaida ukilinganisha na drop out students

Pia, cha msingi uendelee kupambana kwa bidii na uzidi kumuomba mungu akusaidie

Lakini mwisho wa siku inabidi kumshukuru mungu, kwa sababu yeye ndo anajua kwa nin amekunyima ww na kampa yule
Mkuu, hiv drop out wa chuo na wewe graduate mnatofautina sana muda wa kuingia mtaani kuanza maisha?
Labda alieishia la7 na form 4,6 wanamiaka mingi mtaani kuliko wewe graduate wa chuo.
 
Mkuu, hiv drop out wa chuo na wewe graduate mnatofautina sana muda wa kuingia mtaani kuanza maisha?
Labda alieishia la7 na form 4,6 wanamiaka mingi mtaani kuliko wewe graduate wa chuo.
Nimeongelea drop out wote kiujumla cio wa chuo tu!

Sometimes kusoma nap kuna disadvantages, mfano most of the graduates ni watu wenye hofu juu ya jamii zao jinsi zitakavyowachkulia kutokana na kujishughulisha na ishu nyingine tofaut na taaluma walizotafuta

Pia graduates ni watu wanaokuw na expectations kubwa kutokana na elimu zao tofaut na uhalisia wa maisha yalivyo, kitu kinachopelekea kupanic na stress
 
Nimeongelea drop out wote kiujumla cio wa chuo tu!

Sometimes kusoma nap kuna disadvantages, mfano most of the graduates ni watu wenye hofu juu ya jamii zao jinsi zitakavyowachkulia kutokana na kujishughulisha na ishu nyingine tofaut na taaluma walizotafuta

Pia graduates ni watu wanaokuw na expectations kubwa kutokana na elimu zao tofaut na uhalisia wa maisha yalivyo, kitu kinachopelekea kupanic na stress
Hebu tueleweshane kidogo.
Alie maliza form4 na la 7 na form 6 bila kwenda vyuoni unawaweka kundi gani ? Ni graduate au drop out?
Kwa mtazamo wangu drop out wanaojadiliwa humu na huko ulaya ni university level sio hao wachini.
Kama drop out wote wanawekwa kundi moja basi graduate wana unafuu zaidi ya hao drop out.
Kumbuka drop out wa TZ wengi waliacha sio kwa hiyari bali kukosa ada,kufukuzwa, ku disco na kuumwa tofauti na drop out wa USA huacha ili kuanzisha kampuni.
 
Hebu tueleweshane kidogo.
Alie maliza form4 na la 7 na form 6 bila kwenda vyuoni unawaweka kundi gani ? Ni graduate au drop out?
Kwa mtazamo wangu drop out wanaojadiliwa humu na huko ulaya ni university level sio hao wachini.
Kama drop out wote wanawekwa kundi moja basi graduate wana unafuu zaidi ya hao drop out.
Kumbuka drop out wa TZ wengi waliacha sio kwa hiyari bali kukosa ada,kufukuzwa, ku disco na kuumwa tofauti na drop out wa USA huacha ili kuanzisha kampuni.
Drop out wa university wana unafuu kivip, na hao wengine wana hali mbaya kivip??!

Suala zima la drop out ni drop out, no matter umeach skul kwa malengo gan au matatizo gan!!

kibongo bongo kama hujagraduate university basi we ni drop out, coz bado huna taaluma yeyote

Then, droping out from skul haina relation na hali ya maisha ya mtu fulani, ni vitu visivyotegemean
 
Drop out wa university wana unafuu kivip, na hao wengine wana hali mbaya kivip??!

Suala zima la drop out ni drop out, no matter umeach skul kwa malengo gan au matatizo gan!!

kibongo bongo kama hujagraduate university basi we ni drop out, coz bado huna taaluma yeyote

Then, droping out from skul haina relation na hali ya maisha ya mtu fulani, ni vitu visivyotegemean
Drop out ni yule alie acha kabla ya kumaliza.
Akiacha shule kabla hajamalu
Iiza drs 7 kidato cha4,6, chuo cha kati au juuu.
Usichanganye NGAZI ya Elimu na Drop out ni vitu viwili tofauti.
Zipo tafiti zimefanywa kwa title ya drop out.
Drop out ni kuavha shule ai mdondoko na si kuishia ngazi fulani.
Mfano kuzi ksyi waziri kasema wale walioacha shule form two warudi shule, hao ndio drop out.
Inakuwaje mtu afanye mtihani wa Taifa awe drop out?
Hao wote uliowataja ni wahitimu(graduate) ila katika ngazi tofauti.
Mkuu naona inataka tufudi madarasani.
Ndio maana nikakuuliza unawaweka wapi drs 7,4 na 6.
Basi tuishie hapa.
 
Then, droping out from skul haina relation na hali ya maisha ya mtu fulani, ni vitu visivyotegemean
Fanya random sampling kuanzia drsa 7 mpaka chuo watu 10 tu walioacha na 19 waliohitimu ndio utoe majibu. Don't guess !
 
hujatuambia ktk hizi sample ulizotupa ni chache kuna wengine kati ya hao 200 umewazidi mbali jipige kifua sema Mimi ni mshindi
 
Back
Top Bottom