min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Dogo sio lazima kufanya nyeto na sio lazima uiloweke tatizo lako haupo bize.Bro nyeto sitaki kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo sio lazima kufanya nyeto na sio lazima uiloweke tatizo lako haupo bize.Bro nyeto sitaki kufanya
Njia gani naweza kutumia nirudiane nae, najiona kama nilimkosea sanaUtoto Tu unakusumbua hakuna cha mikosi walai nini.
Wewe sema unataka kurudiana na manzi wako tukupe za kumrudisha
Je nitafute dem mwingine?Dogo sio lazima kufanya nyeto na sio lazima uiloweke tatizo lako haupo bize.
Kama vipi fanya hivyo wanawake wapo kibao tu hakuna haja ya kuumiza kichwaJe nitafute dem mwingine?
Mikosi ipo ila haya yako sio mikosi, niamini mimi.Kwahiyo dhana ya kusema mikosi ina exist uwa ni uongo?
Sawa bro nitafanya hivyo nitulie na mwingineKama vipi fanya hivyo wanawake wapo kibao tu hakuna haja ya kuumiza kichwa
KabisaTafuta hela
Mhh yani mkosaji mimi alafu mikosi impate mwingine? Na kipi chanzo cha mikosi je kurogwa auMikosi ipo ila haya yako sio mikosi, niamini mimi.
Na mara nyingi mikosi haitakupata wewe bali watu wako wa karibu zaidi.
Hela ninazo kiasiTafuta hela
Yeah hizo mambo zisikae kukuumiza kichwa kabisa.Sawa bro nitafanya hivyo nitulie na mwingine
Sasa hiyo ndio mikosi yenyewe kiongozi, yaani unajiona kama umepelekea wengine matatizo yaani unajiona wewe ni nuksi mleta mikosi.Mhh yani mkosaji mimi alafu mikosi impate mwingine? Na kipi chanzo cha mikosi je kurogwa au
Jaribu kumsahau na usonge mbeleNifanyaje sasa mbona balaa kila siku
Nishaanza kumsahau na nishatupia ndoano kwa mtoto wa kitangaJaribu kumsahau na usonge mbele
Je ni kweli kuoga na chumvi ya mawe inasaidia kuondoa mikosi?Sasa hiyo ndio mikosi yenyewe kiongozi, yaani unajiona kama umepelekea wengine matatizo yaani unajiona wewe ni nuksi mleta mikosi.
Vipi ushaona tofauti ya mikosi na matatizo yako ya kupoteza umakini?.
Chanzo cha mikosi ni hujuma, mauaji, kujiua au kujaribu kujiua na mambo mengine ya kuzulumu nafsi za wengine
Sijui Mkuu, mi nasikia sikia tu.Je ni kweli kuoga na chumvi ya mawe inasaidia kuondoa mikosi?
I noticed una elimu kuhusu comment uliyochapisha nimeshaona sehem mbalimbali ukigusia hili....Ulichopata au unachopata huitwa 'negative wave'
Hii negative wave haitokani na kuachana na mtu Ila inatokana na attention au muitukio wa yale yanayokupata , ukosefu wa kufanya detachment huweza kupelekea kutiririka Kwa '
negative emotions wave '
So ushauri mdogo huu hapa 👎🏽
Just Practice more gratitude and detachment.
Energy au nishati huwa ina-flow sehemu yenye attention either iwe positive or negative
Umewahi kuambiwa fumba macho tuombe ?
Nitarudi hapa .