Mikumi, Morogoro: Wenyeviti wa vitongoji wawekwa ndani kwa kushindwa kuwahamasisha wananchi kujenga madarasa

Mikumi, Morogoro: Wenyeviti wa vitongoji wawekwa ndani kwa kushindwa kuwahamasisha wananchi kujenga madarasa

Mkuu wa Mkoa ana mamlaka ya kumuweka mtu yeyote ndani.

Hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Tawala za Mikoa (The Regional Administrative Act).

Kwa hiyo hapa RC hajajichukulia sheria mkononi bali ametekeleza sheria.

Labda ungehoji uhalali wa sheria aliyoitumia, na kama hicho kifungu kinafaa kuendelea kuwepo.

Pia kuna sheria inampa mamlaka rais kuadhibu kijiji kizima. Mfano Kama watu wa Kijiji husika au mtaa wanahisiwa kumficha mhalifu, basi watapewa adhabu wote mpaka wataje
Note : Ikiwa kama tu mtu huyo anatishia salama.
 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Ole Sanare ameagiza wenyeviti wa vitongoji 21 vilivyoko katika mji mdogo wa Mikumi kukamatwa kwa kushindwa kuwahamasisha wananchi kushikiriki ujenzi wa madarasa.

RC Sanare amesema alijua kuna kutoka kwa wenyeviti katika ujenzi wa madarasa hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yanategemea nguvu za wananchi hivyo ilikuwa kazi ya wenyeviti kuwakusanya wananchi wao.

Aidha RC ameagiza Mkuu wa Shule ya Sekondari Kauzeni iliyoko Manispaa ya Morogoro kutafutiwa kazi nyingine kwa kuwa ameitelekeza shule hiyo kwa zaidi ya miaka sita.
Hahahaha
 
Hivi hakuamuru wachapwe viboko?
Hii ya version mpya ya kuwaweka ndani watendaji inaweza kuwa mbadala wa viboko.
 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Ole Sanare ameagiza wenyeviti wa vitongoji 21 vilivyoko katika mji mdogo wa Mikumi kukamatwa kwa kushindwa kuwahamasisha wananchi kushikiriki ujenzi wa madarasa.

RC Sanare amesema alijua kuna kutoka kwa wenyeviti katika ujenzi wa madarasa hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yanategemea nguvu za wananchi hivyo ilikuwa kazi ya wenyeviti kuwakusanya wananchi wao.

Aidha RC ameagiza Mkuu wa Shule ya Sekondari Kauzeni iliyoko Manispaa ya Morogoro kutafutiwa kazi nyingine kwa kuwa ameitelekeza shule hiyo kwa zaidi ya miaka sita.
Safi sana. Tanzania ya kijani hakika inapendeza
 
Acha ujinga na roho mbaya mbona harusi mnachangia?
Kafuteni kwenye ilani kuwa elimu siyi bure tutachangia kiroho safi. Vinginevgo acheni utapeli wa elimu bure...na tunasubiri bima za afya kwa kila mwananchi
 
Back
Top Bottom