Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Kila chama kiitishe mikutano sehemu kiliposhinda tu. Japo CCM tulishinda sehemu zote. Poleni UKAWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa vilivyosajiliwa rasmi, hakukuwa na sababu yoyote muhimu ya kuizuia. Katiba inaruhusu, na ilitamkwa bayana baada ya Sheria ya vyama vingi vya siasa, kuwa mikutano hiyo ya hadhara inawekwa kwenye Katiba ili isiwe rahisi kwa mtu yeyote kuizuia. Kimsingi, mikutano hiyo ni moja ya kazi muhimu zinazotakiwa kufanywa na vyama vya siasa ili kutangaza sera zake na hatimaye kupata Wanachama.Kila kitu mnalalamika! Muwe mnasikiliza vizuri yanayoongelewa ili kuepusha aibu ndogo ndogo kama hizi.
Wabunge/Madiwani,wenyeviti wa mtaa,wafanye mikutano ktk maeneo yao, Mwambie mbuge wako haitishe mkutano,alafu amwalike katibu au Mwenyekiti wako mfanye mkutanoSasa kama wewe ulisikiliza vizuri ukaelewa kuna ubaya gani ukawaelewesha wenzio hapa ambao hawajaelewa?
Kwa kifungu kipi cha Katiba/sheria ya JMTZ?Wabunge/Madiwani,wenyeviti wa mtaa,wafanye mikutano ktk maeneo yao, Mwambie mbuge wako haitishe mkutano,alafu amwalike katibu au Mwenyekiti wako mfanye mkutano
Ni vyema vyama vya upinzani waende mahakamani tuone mahakama itaamua nini kulalamika tu hakusaidii chochote,Kama hawana pesa ya kufungua kesi mahakamani tujulishwe tuchangieKwa kifungu kipi cha Katiba/sheria ya JMTZ?
Tamko la RaisKwa kifungu kipi cha Katiba/sheria ya JMTZ?
La kuvunja katiba?Tamko la Rais
Maza lazima akimbilie ZenjiMoto wa KATIBA MPYAA umewaamsha.
Bado wa NSSF unapogoma.