Pre GE2025 Mikutano ya CHADEMA yadoda Vunjo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
INASIKITISHA WALLAH.
 
Hayo mambo ya watu wengi au wachache ni ujinga tu. Kinachotakiwa ni dhamira ya kila mmoja, kuelewa ccm si chama kitakachotuletea maendeleo na kutoa umasikini. Kimeshashindwa kwa miaka zaidi ya 60.
Hilo jimbo chadema wanalichukua mapema tu , yule bwana kimei huko amechacha inasemekana lakinšŸ¤”
 
Hilo jimbo chadema wanalichukua mapema tu , yule bwana kimei huko amechacha inasemekana lakinšŸ¤”
Hili jimbo lipo neutral, ajaye awe ni mwenye akili kubwa na mtendaji, kimei ameshindwa kukaa na wanajimbo kindugu, kutatua shida nje ya mifumo ya serekali, nikimaanisha kushirikisha wananchi naye akiwepo kujenga mabarabara na mengineyo, wachaga by nature hawakuzoea KUILILIA SEREKALI KAMA SEHEMU ZINGINE ETI KWA KIGEZO TUNALIPA KODI, WACHAGA HUITATUA KERO KWA NAMNA YOYOTE KWANZA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…