Mikutano ya CHADEMA yadorora

Mikutano ya CHADEMA yadorora

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya CHADEMA maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

1690813188801.png
 
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya Chadema maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

View attachment 2703874
Wewe ni juha na sijui wewe ni mruli wa wapi kiasi kwamba umekuwa na njaa mpaka kichwani.
 
Sasa hivi tuna angalia HOJA siyo makumi, mamia au maelfu ya watu kwenye Mikutano.

Unaweza kukuta Watu 10 lakini wanaongalia live kupitia Mitandao ni Maelfu.

Technology speaks alot.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya Chadema maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

View attachment 2703874
Nyie nyau chadema gani bado mjaiwaza?
Si mlisema imeshakufa enzi za mwendazake.
 
Hii picha haijajitosheleza inawezekana imepigwa mapema sana wakati vyombo vinafungwa na watu wanaanza kujikusanya....


Unaona wananchi hawataki hata kusikiliza upotoshaji wao watanzania sasa wameamka hawataki kupotoshwa tena

 
Sasa hivi tuna angalia HOJA siyo makumi, mamia au maelfu ya watu kwenye Mikutano.

Unaweza kukuta Watu 10 lakini wanaongalia live kupitia Mitandao ni Maelfu.

Technology speaks alot.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza fuatilia mikutano ya watu wanasema nchi inauzwa tangu lini nchi ikauzwa
 
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya CHADEMA maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

View attachment 2703874
Japo siwakubari CDM ila ujue mikutano ya CDM ni ya kata, ya CCM ni ya Kanda nzima na mabasi juu. Hao wa CDM wamekuja kwa mguu.

Pili, CDM wanakazi kubwa sana ya kusafisha Magufuli na ikibidi waombe msamaha kwa watamzania hasa wa Kanda ya Ziwa.
 
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya CHADEMA maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

View attachment 2703874
Screenshot_2023-07-31-17-47-56-1.jpg
 
CHADEMA msipomwomba msamaha hawara wa Dr Slaa, Bi Josephine, mtaendelea kutaabika.
 
Japo siwakubari CDM ila ujue mikutano ya CDM ni ya kata, ya CCM ni ya Kanda nzima na mabasi juu. Hao wa CDM wamekuja kwa mguu.

Pili, CDM wanakazi kubwa sana ya kusafisha Magufuli na ikibidi waombe msamaha kwa watamzania hasa wa Kanda ya Ziwa.
Bwahahahahahaaaaaa!
Kajipange!
 
Watanzania wasusia mikutano ya upotoshaji ya CHADEMA maana watanzania wameelimishwa kuhusu uwekezaji na sasa wanajua uwekezaji huu unaendelea kuifungua Tanzania kiuchumi na unaenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha bishara na usafirishaji.

Jionee picha maelfu ya watanzania waliojitokeza kwenye mkutano wa kuona mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu.

Hii inanipa picha kwamba 2025 hatutahangaika na campaign maana kwa maendeleo anayoyafanya Rais Samia Suluhu atapita bila kupingwa

View attachment 2703874
CCM watu wanabebwa na malori vijijini wanakusanywa kwenda kwenye mikutano ya chama.
 
Back
Top Bottom