Mikutano ya kumpongeza Rais imegeuka kero! Sio lazima kila mkoa uandae mkutano wa pongezi, huo ni upigaji

Mikutano ya kumpongeza Rais imegeuka kero! Sio lazima kila mkoa uandae mkutano wa pongezi, huo ni upigaji

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Inashangaza sana nchi za kiafrika Bado tunaishi Karne ya kwanza! Rais kutimiza mwaka Mmoja madarakani sio hoja ya kufuja pesa za walipa Kodi kwa kuandaa Mikutano Kila mkoa na kukodi wasanii kwa mamilioni ya pesa ili kupongeza kutimiza miaka miwili.

Ziko njia nyingi zinazoweza kutumika Kumpongeza rais kwa jambo jema sio lazima iwe Mikutano ya hadhara Tena Kila mkoa ni kama mnashindana au ni amri,.kutimiza miaka miwili kazini ni sehemu ya majukumu yake. Kila Mmoja akipata kazi aweke mkutano Kila mwaka kusherehekea haileti maana yoyote!

Tafuteni njia nyingine ya kufikisha pongezi msitumie hiyo Mikutano kupiga Mali za umma na kutumia vibaya muda wenu!
 
Hongera kwa kujipendekeza kwao, ili wapate teuzi.
 
Mkuu Asante kwa hoja bombs ulivyosema na kushauri hakika ndio Cha msingi Ila Sasa subiri chawa waje
 
Inashangaza sana nchi za kiafrika Bado tunaishi Karne ya kwanza ! Rais kutimiza mwaka Mmoja madarakani sio hoja ya kufuja pesa za walipa Kodi kwa kuandaa Mikutano Kila mkoa na kukodi wasanii kwa mamilioni ya pesa ili kupongeza kutimiza miaka miwili.

Ziko njia nyingi zinazoweza kutumika Kumpongeza rais kwa jambo jema sio lazima iwe Mikutano ya hadhara Tena Kila mkoa ni kama mnashindana au ni amri,.kutimiza miaka miwili kazini ni sehemu ya majukumu yake . Kila Mmoja akipata kazi aweke mkutano Kila mwaka kusherehekea haileti maana yoyote ! Tafuteni njia nyingine ya kufikisha pongezi msitumie hiyo Mikutano kupiga Mali za umma na kutumia vibaya muda wenu!
Dar mabango yamesambazwa kila mahali ya kumsifia utadhani ashuka kutoka mbinguni. Huenda ni mbinu zake za kuanza kampeni mapema
 
Dar mabango yamesambazwa kila mahali ya kumsifia utadhani ashuka kutoka mbinguni. Huenda ni mbinu zake za kuanza kampeni mapema
Kawatia mfukoni kina mbowe wanampigia kampeni
 
Inashangaza sana nchi za kiafrika Bado tunaishi Karne ya kwanza! Rais kutimiza mwaka Mmoja madarakani sio hoja ya kufuja pesa za walipa Kodi kwa kuandaa Mikutano Kila mkoa na kukodi wasanii kwa mamilioni ya pesa ili kupongeza kutimiza miaka miwili.

Ziko njia nyingi zinazoweza kutumika Kumpongeza rais kwa jambo jema sio lazima iwe Mikutano ya hadhara Tena Kila mkoa ni kama mnashindana au ni amri,.kutimiza miaka miwili kazini ni sehemu ya majukumu yake. Kila Mmoja akipata kazi aweke mkutano Kila mwaka kusherehekea haileti maana yoyote!

Tafuteni njia nyingine ya kufikisha pongezi msitumie hiyo Mikutano kupiga Mali za umma na kutumia vibaya muda wenu!
Wamekosa Kazi za kufanya
 
Inashangaza sana nchi za kiafrika Bado tunaishi Karne ya kwanza! Rais kutimiza mwaka Mmoja madarakani sio hoja ya kufuja pesa za walipa Kodi kwa kuandaa Mikutano Kila mkoa na kukodi wasanii kwa mamilioni ya pesa ili kupongeza kutimiza miaka miwili.

Ziko njia nyingi zinazoweza kutumika Kumpongeza rais kwa jambo jema sio lazima iwe Mikutano ya hadhara Tena Kila mkoa ni kama mnashindana au ni amri,.kutimiza miaka miwili kazini ni sehemu ya majukumu yake. Kila Mmoja akipata kazi aweke mkutano Kila mwaka kusherehekea haileti maana yoyote!

Tafuteni njia nyingine ya kufikisha pongezi msitumie hiyo Mikutano kupiga Mali za umma na kutumia vibaya muda wenu!
Utaitwa sukuma gang mda sio mda mrefu.
 
Nimeshangaa nipo huku tunduma wakati naenda kugonga hati ya kusafiria nimeona bango kubwa,lina picha ya mbowe, rais katikati, na mzee kinana,bango linasema mama anaunganisha undugu na kuondoa uhasama nikacheka tu bonge la bango.
 
Tbc kuanzia asubuhi mpaka usiku vipindi ni cha miaka miwili ya Rais, kufulia kubaya maana channel nyingine zimekatwa kwahyo natazama TBC huku nimekunja sura.
 
Zanzbar nimekuta Picha kubwa ya Mama na Zitto maeneo ya Mwanakwerekwe.
 
Back
Top Bottom