Mikutano ya siasa wamebana, wameachia

Mikutano ya siasa wamebana, wameachia

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Safari kuelekea ukombozi kamili haijawahi kuwa rahisi.

Waliozuia mikutano ya hadhara kwa sababu zile ni hawa hawa walioiruhusu leo kwa sababu hizi. Hivi kwa kumchuuza nani vile?

Kwamba tuwapongeze sasa kwa lipi kwenye kuamua kuanza kuiheshimu katiba?

Nani asiyejua walijua nini yalikuwa maazimio yetu kama wangeendelea kushupaza shingo.

Kama wanadhani yetu ni kwenda ikulu tu, mbona wanajidanganya big time.

Kwani wahuni bado wangalipo? Tozo batili na tozo za Mwigulu zingalipo? Vipi fyongo za mamlaka kucha kutwa kumwonea mwananchi? Vipi wao kuendelea kulamba asali huku wakiwa hawalipi kodi na kutusokomezea sisi mzigo?

Vipi watuhumiwa kupotelea au kufia mikononi mwa polisi?

Yajayo yanafurahisha.

Tuungane kuwakataa wahuni!
 
Safari kuelekea ukombozi kamili haijawahi kuwa rahisi.

Waliozuia mikutano ya hadhara kwa sababu zile ni hawa hawa walioiruhusu kwa sababu hizi. Hivi kwa kumchuuza nani vile?

Kwamba tuwapongeze sasa kwa lipi kwenye kuamua kuanza kuiheshimu katiba?

Nani asiyejua walijua nini yalikuwa maazimio yetu kama wangeendelea kushupaza shingo.

Kama wanadhani yetu ni kwenda ikulu tu mbona wanajidanganya big time.

Kwani wahuni bado wangalipo? Tozo batili na tozo za Mwigulu zingalipo? Vipi fyongo za mamlaka kucha kutwa kumwonea mwananchi? Vipi wao kuendelea kulamba asali huku wakiwa hawalipi kodi na kutusokomezea sisi mzigo?

Vipi watuhumiwa kupotelea au kufia mikononi mwa polisi?

Yajayo yanafurahisha.

Tuungane kuwakataa wahuni!
Bado inaelekeza katoe taarifa ( polite word for kuomba kibali) polisi- tuko pale pale
 
Ushindi wa vyama vya upinzani kwa jambo lolote hapa nchini ina tegemea na huruma ya CCM na mwenyekiti wa CCM aliye madarakani, kwa hali kama hii ya siasa mabembelezo mtoa mada futa hilo wazo la ukombozi kamili unalo waza kichwani mwako.
 
Ushindi wa vyama vya upinzani kwa jambo lolote hapa nchini ina tegemea na huruma ya CCM na mwenyekiti wa CCM aliye madarakani, kwa hali kama hii ya siasa mabembelezo mtoa mada futa hilo wazo la ukombozi kamili unalo waza kichwani mwako.
Ninakazia:

"Kama wanadhani yetu ni kwenda ikulu tu mbona wanajidanganya big time."

Kwa hili ninaamini white wasumbukao na wenye makasiriko na watu hawa wakiwamo kina mondi ni wadau.

Tuungane kuwakataa wahuni.
 
Back
Top Bottom