Jibu ndo hilo ACT ni programu ya Chama tawala kupunguza nguvu ya Chadema so wao kuoneshwa live na channel zenu uchwara ni moja ya mipango mikakati ya CCM kuua nguvu ya Chadema
We simama uhesabiwe wenyewe wataunga tela uwepo wa Mungu ni zaidi ya hizo media zote 2020 tunaenda na mpango wa Mungu 2020 ni yeye ni Lisu
Mimi sio kiongozi wa CD M in maweza kutoa maoni yangu.
CDM wamekata tamaa na Vyombo vya habari vya hapa nchini kwa sababu wanaona haviwatendei Haki,haviwatendei Haki sio kwa sababu havitaki,hapana,Bali vimetishwa visiwatangazie mambo yao mazuri,mfano Hakuna chombo chochote Cha habari Cha ndani kilichoripoti siku TL alipokuja nchini.
Pia hakuana chombo chochote Cha nchini kilihudhuria siku ya uchunguzi wa mwenyekiti wa CDM pale Mlimani City.
Wala hakuna chombo kilichojitokeza kuripoti Press conference aliuofanya Mbowe Mara ya mwisho.
Kwa maana hiyo CDM wameona wasijichoshe kualika chombo ambacho hakita kuja Wala hakita ripoti.
Chombo chochote Cha habari habari yeyote Ni malighafi namba moja,lakini habari za chadema Ni hatari kwao na zinaweza kuwaguarimu Sana,hivyo nao wanaogopa.wanaogopa yaliyowakuta Mawio,mwanahalisi na Tanzania Daima.
Who are you to tell Chadema what to do?Huwa vinalipiwa, siyo bure. Tena bei zake ni kubwa kwa saa! CCM iliweza kulipa media zaidi ya tano 24 hours for 4 days. ACT wamemudu kulipia media moja (ITV) kwa saa moja.
Chadema wameshindwa kabisa kwa kwa sababu ya ukapa!
As one of Chadema members here, hatutoi majibu unayotaka kuyasikia bali tunatoa majibu tunayotaka uyasikie.haya ndiyo majibu ninayohitaji kuyasikia kutoka kwa wadau wa Chadema humu ndani.
CHADEMA Chadema Diaspora
Mimi sio kiongozi wa CD M in maweza kutoa maoni yangu.
CDM wamekata tamaa na Vyombo vya habari vya hapa nchini kwa sababu wanaona haviwatendei Haki,haviwatendei Haki sio kwa sababu havitaki,hapana,Bali vimetishwa visiwatangazie mambo yao mazuri,mfano Hakuna chombo chochote Cha habari Cha ndani kilichoripoti siku TL alipokuja nchini.
Pia hakuana chombo chochote Cha nchini kilihudhuria siku ya uchunguzi wa mwenyekiti wa CDM pale Mlimani City.
Wala hakuna chombo kilichojitokeza kuripoti Press conference aliuofanya Mbowe Mara ya mwisho.
Kwa maana hiyo CDM wameona wasijichoshe kualika chombo ambacho hakita kuja Wala hakita ripoti.
Chombo chochote Cha habari habari yeyote Ni malighafi namba moja,lakini habari za chadema Ni hatari kwao na zinaweza kuwaguarimu Sana,hivyo nao wanaogopa.wanaogopa yaliyowakuta Mawio,mwanahalisi na Tanzania Daima.
Sio upinzani how comes mnafanya nao mazungumzo kupeana support? Huu ubinafsi wa kishamba kujifanya nyie pekee ndo unaujua sana upinzani na kuforce kila mtu awatambue kama role model wa mabadiliko ndo inawashusha na kuonekana chama cha kiharakati kisicho na dira yoyote ya msingi..Wewe unaamini ACT ni upinzani kweli??
Utakuja kuelewa badae. Hata nzi akiacha ujinga anaweza tengeneza asali. Kuna muda puppets huwa wanabadirika kikubwa kwenda nao kiakiliSio upinzani how comes mnafanya nao mazungumzo kupeana support? Huu ubinafsi wa kishamba kujifanya nyie pekee ndo unaujua sana upinzani na kuforce kila mtu awatambue kama role model wa mabadiliko ndo inawashusha na kuonekana chama cha kiharakati kisicho na dira yoyote ya msingi..
Kama kuna mtu humu anaweza kukumbuka kilichowakuta marehemu Mzee Mengi na Spencer Lameck Lumumba kwenye kukabidhiwa cheti cha ushindi. Waliokolewa waziri Membe. Walishambuliwa mawe, viatu na kila kitu. KISA ?! Ni kwanini ITV na radio one walikuwa fair ktk uchaguzi mkuu 2015 . Ni kwanini waliiwatangaza Cdm ?!. Mwisho waliishia kupigwa fine za kutosha na kutishiwa kufungiwa.Mimi sio kiongozi wa CD M in maweza kutoa maoni yangu.
CDM wamekata tamaa na Vyombo vya habari vya hapa nchini kwa sababu wanaona haviwatendei Haki,haviwatendei Haki sio kwa sababu havitaki,hapana,Bali vimetishwa visiwatangazie mambo yao mazuri,mfano Hakuna chombo chochote Cha habari Cha ndani kilichoripoti siku TL alipokuja nchini.
Pia hakuana chombo chochote Cha nchini kilihudhuria siku ya uchunguzi wa mwenyekiti wa CDM pale Mlimani City.
Wala hakuna chombo kilichojitokeza kuripoti Press conference aliuofanya Mbowe Mara ya mwisho.
Kwa maana hiyo CDM wameona wasijichoshe kualika chombo ambacho hakita kuja Wala hakita ripoti.
Chombo chochote Cha habari habari yeyote Ni malighafi namba moja,lakini habari za chadema Ni hatari kwao na zinaweza kuwaguarimu Sana,hivyo nao wanaogopa.wanaogopa yaliyowakuta Mawio,mwanahalisi na Tanzania Daima.
Hakuna chombo chote cha habari ambacho kiliripoti siku lissu amekuja nchini?? Huu uongo huwa mnaupendea nini? Vyombo karibu vyote viliripotiMimi sio kiongozi wa CD M in maweza kutoa maoni yangu.
CDM wamekata tamaa na Vyombo vya habari vya hapa nchini kwa sababu wanaona haviwatendei Haki,haviwatendei Haki sio kwa sababu havitaki,hapana,Bali vimetishwa visiwatangazie mambo yao mazuri,mfano Hakuna chombo chochote Cha habari Cha ndani kilichoripoti siku TL alipokuja nchini.
Pia hakuana chombo chochote Cha nchini kilihudhuria siku ya uchunguzi wa mwenyekiti wa CDM pale Mlimani City.
Wala hakuna chombo kilichojitokeza kuripoti Press conference aliuofanya Mbowe Mara ya mwisho.
Kwa maana hiyo CDM wameona wasijichoshe kualika chombo ambacho hakita kuja Wala hakita ripoti.
Chombo chochote Cha habari habari yeyote Ni malighafi namba moja,lakini habari za chadema Ni hatari kwao na zinaweza kuwaguarimu Sana,hivyo nao wanaogopa.wanaogopa yaliyowakuta Mawio,mwanahalisi na Tanzania Daima.
Hawa jamaa hua ni walalamishi tu hamna unachoweza kuwafanyia wakashukuruHakuna chombo chote cha habari ambacho kiliripoti siku lissu amekuja nchini?? Huu uongo huwa mnaupendea nini? Vyombo karibu vyote viliripoti
Nakuwekea hapa chini
View attachment 1527303View attachment 1527304View attachment 1527305
Hawa jamaa hua ni walalamishi tu hamna unachoweza kuwafanyia wakashukuru