Mil 2.5 za mahari zamkimbiza kijana

Mil 2.5 za mahari zamkimbiza kijana

Binti mwenyewe tumeambiwa yatima, usikute majitu ambayo hata hayakusaidia malezi ndio inataka huo mpunga. ***** zao!!
 
Daaah mkuu kumbe tupo wengi hahahaaaa mimi mwenyewe nimevuta binti wa watu nakaanaye tu mwaka wa pili huu sasa, hakuna cha posa wala nini na maisha yanasonga kama kawaida
 
Inategemeana haya ni maisha lazima uende na hesab mjomba uishie kutoa mahali kubwa wakati huo unachoingza kwa siku ni kidogo kuliko icho na baadae maisha yakakushinda utachekwa apa mjini
Be care fully. Siku zote ukitaka uinjoy maisha usijilazimishe kufanya kitu kilicho nje ya uwezo wako.
 
Back
Top Bottom