Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.

Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?

Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
 
Ghana nchi au waghana kitu gani

Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?

Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani

Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
 
Ghana nchi au waghana kitu gani

Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?

Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani

Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
Huo ni ujahili
 
Nakubaliana na wewe, kuna rafiki namfahamu from Kumasi Ghana nilikuwa nae China , yeye alipata msiba na the deceased alizikwa after 6 months na alikuwa mzazi wake . Nilistuka na ndio siku hiyo nikajua how they do the farewell
Duhh sasa wakat anasubiri mazishi bado anaomboleza?? Na anaishije? Au anaendelea na maisha hakuna matanga?
 
Back
Top Bottom