Wale msiba wanasherekea sishangaiWest Africa Ghana
Ninao wengi huko. That's how they do it.Ghana nchi au waghana kitu gani
Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Huo ni ujahiliGhana nchi au waghana kitu gani
Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani
Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
Nakubaliana na wewe, kuna rafiki namfahamu from Kumasi Ghana nilikuwa nae China , yeye alipata msiba na the deceased alizikwa after 6 months na alikuwa mzazi wake . Nilistuka na ndio siku hiyo nikajua how they do the farewellNinao wengi huko. That's how they do it.
Usipende ku dramatise kila kitu. Bye
Ndo?Huo ni ujahili
Ni ujinga, kufanya kitu bila elimu,wakati Mungu kamfundisha mwanadamu kila kitu katika system nzima ya maisha yake toka kuzaliwa mpaka kufaNdo?
Bado sijaelewa ..uko out of pointNi ujinga, kufanya kitu bila elimu,wakati Mungu kamfundisha mwanadamu kila kitu katika system nzima ya maisha yake toka kuzaliwa mpaka kufa
Duhh sasa wakat anasubiri mazishi bado anaomboleza?? Na anaishije? Au anaendelea na maisha hakuna matanga?Nakubaliana na wewe, kuna rafiki namfahamu from Kumasi Ghana nilikuwa nae China , yeye alipata msiba na the deceased alizikwa after 6 months na alikuwa mzazi wake . Nilistuka na ndio siku hiyo nikajua how they do the farewell
Wakijijini Cha 3 kutoka kwenuWaghana ndo watu wa wapi