Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 594
Yani Leo nahis nimefungwa supa na MTU asiejua (sina uhakika kama ile ilikuwa ni supa kweli au kulikua na kete ya kutokea) maana nlihis kama supa inakuja hlf sikumalizia game nikamwambia tu huyo jamaa kuwa kashinda...huyo mtu anafungwa na dogo ninaemwonea kwenye draft..draft mchezo wa kifala sana ule..roho inaniuma 😡😡😭😭
SITOKAA NIJE KULICHEZA TEENA
SITOKAA NIJE KULICHEZA TEENA