Muongo wewe 😂😂 Nimecheka aseee!
Dayfath na hao wenzake Wajinga sana! Maandiko yanasema Mshahara Wa Dhambi ni Mauti! Wote hao walitenda dhambi huyo milembe(Rip) alitenda yasiyostahili Machoni pa Bwana kwa kuwa na pesa,mali alijisahau kwamba hii dunia ina kanuni katika kuishi na Pia hao jamaa walitenda dhambi ya mauaji kwahiyo Nao wanastaili mauti!Kivuli cha Giza la Milembe
HAKUKUWA na njia rahisi kuelekea majibu dhidi ya wauaji wa Milembe. Kila hatua ya uchunguzi ilionekana kama kuanguka gizani, na kila kipande cha ushahidi kilionekana kuwa na uzito wa siri.
Polisi walijua kuwa mauaji haya hayakuwa ya bahati mbaya; ilikuwa ni mipango ya kishetani iliyotayarishwa kwa usahihi.
Uchunguzi wa alama za vidole kwenye chupa ya Fanta ulielekeza moja kwa moja kwa Genja. Alikuwa ameacha alama zake, lakini alikuwa na mbinu za kutoroka.
Polisi walijua walikuwa katika mbio za muda—kila sekunde ilionekana kuwa muhimu. Alipofahamu kuwa majina yao yanatafutwa, Genja alijificha kwenye kivuli, akipanga hatua yake ya kuficha ushahidi.
Picha za CCTV za California Lodge zilionyesha picha za kutisha. Milembe aliingia akitabasamu, lakini alionekana kuwa na wasiwasi.
Walinzi walikuwa na wasiwasi, lakini hawakuwa tayari kutoa taarifa. Mtu mmoja aligundua kuwa kuna kitu kisichokuwa sawa, lakini alishindwa kuzungumza kabla ya kutoweka gizani.
Hali iliongezeka kuwa mbaya kadri polisi walipokutana na vikwazo vya kuzungumza.
Uchunguzi wa kidigitali na wa DNA ulileta mwangaza. Damu iliyopatikana kwenye upanga, iliyoachwa nyuma kama ishara ya kutisha, ilithibitishwa kuwa ya Milembe.
Siku zilizofuata, polisi walikamata watuhumiwa, lakini kila mmoja alikuja na hadithi tofauti za kutaka kujinasua.
Walijua walikuwa na jambo moja la pamoja: walihusika kwa namna moja au nyingine katika mpango wa kumuua Milembe.
Genja aliongoza polisi hadi kwenye choo cha shimo, ambapo simu za Milembe zilipatikana, zikiwa zimetupwa ndani. Simu hizo zilikuwa na majina, picha, na jumbe za mtego wa mauaji.
Siri za giza za Milembe, Dayfath, na wenzake zilibainika mbele ya sheria, lakini ukweli ulikuwa wazi kama mchana. Kwa muda mrefu, wakiwa katika kivuli cha chuki, walikumbatia nyuso zao za uongo.
Na hatimaye, wakati wa mwisho ulifika—kuhukumiwa kwa wale waliopanga na kutekeleza mauaji hayo ya kikatili.
Hatimaye, wote wanne walikamatwa—Dayfath, Safari, Genja, na Mussa. Wakiwa mahakamani, kila mmoja alikana kuhusika.
Lakini mashahidi wa siri walikua na ushahidi wa kutisha. Kila alama ya vidole, kila shati lililotupiwa kwenye mahakama, lilionyesha dhahiri kuwa walikuwa na hatia. Sauti ya ushahidi ilikuwa ikipanda, huku ukumbi wa mahakama ukishindwa kuficha hamu ya kujua ukweli.
Hatima ya Siku za Giza
Kesi ilipokamilika, siri za giza za uhusiano wa kimapenzi kati ya Milembe na Dayfath zilifichuliwa hadharani.
Upendo uligeuka kuwa wivu, na wivu uliozaa kisasi, hatimaye ulileta kifo kibaya kwa Milembe. Alijua kuwa hatari ilikuwa karibu, lakini ilikuwa tayari imechelewa.
Kila mtu alijua, lakini hakuna aliyekuwa tayari kusema. Kila mtu alikuwa na woga wa kumwambia ukweli—ni nani angeweza kuishi kwa kutambua kwamba walihusika katika mauaji?
Dayfath, aliyejaribu kudhibiti uhusiano kwa nguvu, sasa alikuwa amefungwa katika mnyororo wa sheria. Alijua, kwa siri, kuwa hakukuwa na kuondoka kwake.
Kwa siku nyingi, mambo yalionekana kuwa siri, lakini sasa ukweli wote ulikuwa wazi kama mchana. Hakuna aliyeweza kukwepa. Dayfath, Genja, Mussa, na Safari walifungwa kwa mikono ya sheria, wakikumbuka kila hatua ya njama yao.
Wakati hukumu ilipotangazwa, joto la hadhira lilionekana. Nyuso za watu zilikuwa zimeshika pumzi, kila mmoja akijaribu kuelewa hatima ya wahusika.
Na huku ukimya wa usiku ukiendelea kupenya, hadithi ya Milembe na Dayfath ilikamilika—kwa damu, kisasi, na hatimaye haki. Watuhumiwa Dayfath, Genja, na Safari walihukumiwa kunyongwa.
Tuishie hapa. Labda, nitarejea tena kwa tukio la kifo cha aliyekuwa mwigizaji nyota nchini, marehemu Steven Kanumba.
Ova
100%kasome Bible,..binti kiziwi,....haya mambo hayajaanza leo,.......hata mnapokuwa faragha au unanyetuka kama mr. dronedrake kuna watu wasioonekana wako pembeni wanawazoom tu,....
Ni kweli kabisa Mkuu.Dayfath na hao wenzake Wajinga sana! Maandiko yanasema Mshahara Wa Dhambi ni Mauti! Wote hao walitenda dhambi huyo milembe(Rip) alitenda yasiyostahili Machoni pa Bwana kwa kuwa na pesa,mali alijisahau kwamba hii dunia ina kanuni katika kuishi na Pia hao jamaa walitenda dhambi ya mauaji kwahiyo Nao wanastaili mauti!
Hayo ni maandiko Matakatifu ni vile tu binadamu tunajisahau tunavopata pesa, vyeo..e.t.c
Tuombeni sana hekima ndugu zanguni. Ukipewa hekima hata mali atakazokupa Mungu utaziendesha katika kanuni! Sasa watu wanapewa Mali hekima hawana shida ndo hizo wanaangukia dhambini mwishowe Mauti.
😂😂😂😂😂 yawa!kasome Bible,..binti kiziwi,....haya mambo hayajaanza leo,.......hata mnapokuwa faragha au unanyetuka kama mr. dronedrake kuna watu wasioonekana wako pembeni wanawazoom tu,....
Amina. Nipate tu hiyo neema ili nitimize ahadi.Shukrani b... Haya, tuisubiri hiyo siku utakayoshushiwa neema ya kutuandikia yaliyojiri kwenye kifo cha Kanumba.
Natamani kufahamu kiundani, najua utaandika ambayo hatujawahi kuyasikia.
Kuna muda wa kitu na kuna muda wa kunyweshea moyo😀 😀 kiti anakunywa kitu waalimu hawataki!
Tuhadithie kidogo basi, alitendewa nini?unaweza kusympathise mauaji kumbe mtu aliuanza ubaya. kuna jamaa fulani miaka ya nyuma alimdhulumu jamaa yangu milioni 12 huku akimtolea maneno ya kishujaa. akaja kuwekewa mtego akajaa. kilichotokea nikajua kila mtu ana ukatili ndani yake. waliokua hawajui walimuonea sana huruma jamaa na alikua hasemi ukweli wa mambo wa yeye kutendewa alichokuja kutendewa.
Milembeeeee kapatikana haiaBaada Agosti 27, 2024 mahakama kutoa hukumu ya kesi tukio kuuawa kwa Milembe Maunga, na watuhumiwa watatu kukutwa na hatia, wakihukumiwa kunyongwa, kwa sasa napata fursa ya kulielezea tukio hilo kwa kina namna lilivyokuwa.
Yatakuwa maelezo marefu kidogo, ila nitajitahidi kulielezea lote kwa awamu hadi nifikie mwisho. Hivyo, nitakuwa nikiendelea kwenye eneo la maoni.
Naanza...
Mauaji ya Siri: Mapenzi, Wivu, na Kifo
USIKU ulikuwa umetulia sana huko Mwatulole, wilaya ya Geita, mnamo Aprili 25, 2023.
Milembe Suleiman Hungwe alikuwa amepanga mipango ya siku inayofuata, lakini hakujua kwamba huo ulikuwa usiku wake wa mwisho duniani.
Akilini mwake, hakukuwa na wasiwasi wowote. Kila kitu kilionekana kikiwa kawaida, lakini nyuma ya pazia, jambo kubwa lilikuwa linapangwa dhidi yake.
Ndani ya kuta za nyumba isiyoisha kujengwa, yaani pagale, iliyomilikiwa na Milembe, palikuwa na siri nzito. Siri iliyogubikwa na wivu wa kimapenzi.
Twende pamoja
Milembe, ni mwanamama imara aliyefanikiwa sana kazini kwake, nyuma ya maisha yake ya siri kulikuwa na jambo moja alilolificha kwa uangalifu mkubwa—uhusiano wake wa kimapenzi.
Milembe na Dayfath Suleiman Maunga hawakuwa tu marafiki wa kawaida. Kwa muda mrefu, walikuwa wapenzi wa jinsia moja (lesbian), uhusiano ambao waliishi nao kwa siri kubwa.
Katika jamii yao, uhusiano kama huo ulikuwa kinyume katika mila na desturi, jambo lililowalazimu kuficha hisia zao.
Dayfath alikuja kwenye maisha ya Milembe kwa njia ya kawaida—alianza kama mfanyakazi wake katika biashara ya duka la vipodozi la Milembe.
Lakini muda ulivyopita, hisia za kimapenzi zilianza kuchanua kati yao. Wakianza kuishi kinyumba maeneo ya Usagara, Mwanza, wakiishi na mama yake Milembe, msaidizi wa kazi za nyumbani, na baadhi ya ndugu.
Ulimwengu wao ulikuwa ni wa siri sana, lakini ni ulimwengu ambao siku moja binti wa Milembe, Grace Evarist Gervas, aligundua kitu kuhusu mama yake na Dayfath ambacho kilimshangaza sana.
Itaendelea...
Ova
Ubini wa majina yao sasa.Milembe na Dayfath Suleiman Maunga hawakuwa tu marafiki wa kawaida. Kwa muda mrefu, walikuwa wapenzi wa jinsia moja (lesbian), uhusiano ambao waliishi nao kwa siri kubwa.
Pesa wanazolipwa na USA zinawaua.Ila mahusiano mengi ya wasagaji ni toxic, wanapigana sana. Ukiwa mtu wa viwanja vikubwa hapa town, dodoma au moro utaona, tunaamua sana maugomvi yao unadhan wanapigania mwanaume kumbe wanapigana kisa wivu.
Kuna siku tupo tumechill tu mara dem akatoka toilet tunashangaa anamfuata mwenzake na kumpiga bonge la kofi kisha akamwagia bia, kutatua ugomvi ikajulikana kumbe wivu, wanasagana na huyo dem sasa akaona dem ana hangout na mwanaume pale ndo ikawa kesi.
Malesbian ni takataka kabisa
Hakuna pesa mapenzi ni hisia, yaan ubongo unauhusika na si pesaa, kila mtu anapenda kile anachotakaPesa wanazolipwa na USA zinawaua.
Wivu wa mapenzi sio tu kwa wapenzi wa jinsia moja hata kama ungekuwa wewe ukute mtu wako yuko na mtu mwingine lazima ujisikie vibaya, so dont judge, mapenzi ni hisiaIla mahusiano mengi ya wasagaji ni toxic, wanapigana sana. Ukiwa mtu wa viwanja vikubwa hapa town, dodoma au moro utaona, tunaamua sana maugomvi yao unadhan wanapigania mwanaume kumbe wanapigana kisa wivu.
Kuna siku tupo tumechill tu mara dem akatoka toilet tunashangaa anamfuata mwenzake na kumpiga bonge la kofi kisha akamwagia bia, kutatua ugomvi ikajulikana kumbe wivu, wanasagana na huyo dem sasa akaona dem ana hangout na mwanaume pale ndo ikawa kesi.
Malesbian ni takataka kabisa
Mapenzi ya jinsia Moja ni uchafuWivu wa mapenzi sio tu kwa wapenzi wa jinsia moja hata kama ungekuwa wewe ukute mtu wako yuko na mtu mwingine lazima ujisikie vibaya, so dont judge, mapenzi ni hisia
Kuna dada alikusema hapa nikadhani anakuonea ila leo umedhihirisha mwenyewe…Wivu wa mapenzi sio tu kwa wapenzi wa jinsia moja hata kama ungekuwa wewe ukute mtu wako yuko na mtu mwingine lazima ujisikie vibaya, so dont judge, mapenzi ni hisia
Mapenzi yote ni hivyooo, ukichunguza sanaa unaweza usile hata bata, ninachojua kwenye kila kitu kunahitajika usafi, mbali na mapenzi ya jinsia moja watu wanakula tigo safi na wanafurahia, wewe baki na mentality yako ila wapo watu wana'enjoy, usitaki kuwaaminisha watu unachoamini maana utapoteza muda bure. Let us enjoy life😅Mapenzi ya jinsia Moja ni uchafu
Uchafu wa nini?Mapenzi ya jinsia Moja ni uchafu