Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
1.milembe na dayfath walikuwa wapenzi.
2.mapenzi Yao yalikiwa moto Moto baadae wivu ukaanza kumea
3.milembe akawa aanampiga sana dayfath...dayfath akaumia kuona king aanampiga kila mara(king ndivyo alivyomsevu milembe kwenye sim)
4.siku Moja wakapigana sana mpaka dayfath akaondoka .wakati huo mtoto WA milembe aitwaeae grace alikuwepo na aliona ugomvi huo .
5.mtoto huyu tayar Alisha jua mama yake anaishi na mwanamke mwenzake kama wapenzi..mtoto alikuwa Marian girls darasa la sita.
6.dayfath akaanza kupanga mipango ya kumuua milembe..akawasialiana na mshitakiwa WA pili ...Ili amsaidie kutafute mganga atakeyemuua milembe Kwa kutumia uchawi .njia hii ilishindikana..
7. Baadae siku Moja mshitakiwa WA pili akampigia siku dayfath na Kumwambia hii njia ya mganga imeshindikana..tunaweza kutumia njia ya mkato tu kufanya kazi hiyo..
8.dayfsth akauliza njia Gani..akasema tumuue tu..naweza kupata watu wakufanya kazi hiyo .
9.dayfsth akakubali njia hiyo maana tayari alikuwa amechoka manyanyaso..
10.yule mtoto wa milembe (grace) aliwahi Kumwambia dayfath .aachane na milembe maana kila siku wanapigana na anapigwa...dayfath akamwambia yule mtoto..nikaondoka tu lakini mpaka nifikie malengo yangu.
11. Mshitakiwa WA pili akatafuta wenzake wawili...wakapanga mauaji..mauaji yalipangiwa SENGEREMa..
12.dayfath akamwambia mshitakiwa wa pili kuwa amsubiri milembe mwanza kwani kila jumatatu Huwa anatokea mwanza kwenda geita...na hivyo aombe lift na aseme ni mganga WA kienyeji anaesaidia kuwapa zindiko wachimba madini..
13.milembe akamwelewa jamaa wakabidilishana namba...Kwa lengo jamaa ataenda kumzindikia nyumba yake(apartments)anazojenga geita..
14.mshitakiwa akawapanga wenzake wawili ..na taafira zikafika Kwa dayfath.
15.dayfath akakubaliana nao Tena kwamba kazi yote itafanyika Kwa tsh 2.6 million...
16.siku ya siku ikafika..milembe akiwa na mshitakiwa wa pili na wenzake ambao wamejifanya kuwa ni waganga WA jadi..walichukua bajaji..wakaeleke site.
17.kule site kulikuwa na mafundi ambao hawakutakiwa kujua kama nyumba zile zinaenda kufanyiwa zondiko ..
18.walipofika njian wale jamaa watatu wakashuka..mmoja alikuwa amekaa mbele ya bajaji akaomba 5000 kutoka Kwa milembe ya sigara..akapewa
19.bajaji ikaelekea site ikiwa na milembe tu akiwa na chupa ya maziwa na mazaga mengine....bajaji ikamuacha pale...
20.milembe na fundi wake wakayajenga na milembe akamwambia fundi wake mda umeisha aende tu home...fundi akatii akasema..
21. Kisha milembe akawaita Kwa simu wale jamaa(wauaaji) akawaambia waje kwani hakuna mtu mwingine Ili wafanye zindiko...
22.walipofika mara Moja wakamwambia milembe wakiwa wote ndani ya pagale lile achukue dawa apige hatua 3 Kisha aifukie chini ..milembe akapewa dawa akafanya kama alivyoagizwa..
23.akiwa pale chini anafukia gafla akakatwa na panga..alipoleta upinzani..akakatwa mkono na kiganja kutenganishwa...akakatwa shingoni...na Kisha usoni....roho ikauacha mwili..
24. Mara baada ya tukio...wauwaji wakachukua simu mbili za milembe (iphone na sumsung galaxy) kwanza wakaenda kutupa panga lililotumika si mbali sana na eneo la tukio chini ya Mti kwenye nyasi...
25 Kisha wakaenda kutupa sim zile ndani ya shimvla choo .(Chamber)
26.kisha wote wakatoweka kuelekea makwao huku malipo ya mwisho ya tsh laki nane yakifsnyika toka Kwa dayfath..
27.mtoto WA marehem yaan yule grace alipokujuja kutoka shule na kufika Kisha akaelezwa kuwa mama yake amefariki Kwa kuuwawa na baadae akafunuliwa jeneza...alilia na akazimia...
28 .alipozinduka akaenda akawaambia polis waliokuwa pale juu ya mtu anaemhisi kufanya mauaji hayo na hakupepesa macho akamtaj dayfath...na akasema alipomshauri Kwa nini asiondoke na kuachana na mama yake kwani wanapigana kila mara..dayfath akajibu akasema ataondoka mara baada ya kikamilisha mpango wake...hivyo anahisi huyu dayfath ndo kahusika....
29.polis wakaanzia hapo kufatilia nakichunguza ..watuhumiwa wakati WA mbaloni...
30..wote kwenye maelezo ya onyo walikiri kuhusika isipokuwa mshitakiwa WA nne Ambae mahakama ilikosa ushahidi WA Moja WA Moja hivyo akawa Hana kesi ya kujibu..akaachiwa...
31.ile chupa ya fanta,panga,simu zote zilionyesha ushahidi WA vinasaba kuhusika Kwa wauwaji...
32.watyhukiwa waliku4wa na hatia na kuhukumiwa kunyongea mpaka kufa.....
33.dereva bajaji alimtambua mtuhumiwa WA tatu..aliyekuwa amekaa Siti ya mbele siku wanaelekea site......
Kwa kifupi story nzima Iko hivyo.....nimesoma pdf ya hukumu Kwa mda WA saa Moja na dk tano.
2.mapenzi Yao yalikiwa moto Moto baadae wivu ukaanza kumea
3.milembe akawa aanampiga sana dayfath...dayfath akaumia kuona king aanampiga kila mara(king ndivyo alivyomsevu milembe kwenye sim)
4.siku Moja wakapigana sana mpaka dayfath akaondoka .wakati huo mtoto WA milembe aitwaeae grace alikuwepo na aliona ugomvi huo .
5.mtoto huyu tayar Alisha jua mama yake anaishi na mwanamke mwenzake kama wapenzi..mtoto alikuwa Marian girls darasa la sita.
6.dayfath akaanza kupanga mipango ya kumuua milembe..akawasialiana na mshitakiwa WA pili ...Ili amsaidie kutafute mganga atakeyemuua milembe Kwa kutumia uchawi .njia hii ilishindikana..
7. Baadae siku Moja mshitakiwa WA pili akampigia siku dayfath na Kumwambia hii njia ya mganga imeshindikana..tunaweza kutumia njia ya mkato tu kufanya kazi hiyo..
8.dayfsth akauliza njia Gani..akasema tumuue tu..naweza kupata watu wakufanya kazi hiyo .
9.dayfsth akakubali njia hiyo maana tayari alikuwa amechoka manyanyaso..
10.yule mtoto wa milembe (grace) aliwahi Kumwambia dayfath .aachane na milembe maana kila siku wanapigana na anapigwa...dayfath akamwambia yule mtoto..nikaondoka tu lakini mpaka nifikie malengo yangu.
11. Mshitakiwa WA pili akatafuta wenzake wawili...wakapanga mauaji..mauaji yalipangiwa SENGEREMa..
12.dayfath akamwambia mshitakiwa wa pili kuwa amsubiri milembe mwanza kwani kila jumatatu Huwa anatokea mwanza kwenda geita...na hivyo aombe lift na aseme ni mganga WA kienyeji anaesaidia kuwapa zindiko wachimba madini..
13.milembe akamwelewa jamaa wakabidilishana namba...Kwa lengo jamaa ataenda kumzindikia nyumba yake(apartments)anazojenga geita..
14.mshitakiwa akawapanga wenzake wawili ..na taafira zikafika Kwa dayfath.
15.dayfath akakubaliana nao Tena kwamba kazi yote itafanyika Kwa tsh 2.6 million...
16.siku ya siku ikafika..milembe akiwa na mshitakiwa wa pili na wenzake ambao wamejifanya kuwa ni waganga WA jadi..walichukua bajaji..wakaeleke site.
17.kule site kulikuwa na mafundi ambao hawakutakiwa kujua kama nyumba zile zinaenda kufanyiwa zondiko ..
18.walipofika njian wale jamaa watatu wakashuka..mmoja alikuwa amekaa mbele ya bajaji akaomba 5000 kutoka Kwa milembe ya sigara..akapewa
19.bajaji ikaelekea site ikiwa na milembe tu akiwa na chupa ya maziwa na mazaga mengine....bajaji ikamuacha pale...
20.milembe na fundi wake wakayajenga na milembe akamwambia fundi wake mda umeisha aende tu home...fundi akatii akasema..
21. Kisha milembe akawaita Kwa simu wale jamaa(wauaaji) akawaambia waje kwani hakuna mtu mwingine Ili wafanye zindiko...
22.walipofika mara Moja wakamwambia milembe wakiwa wote ndani ya pagale lile achukue dawa apige hatua 3 Kisha aifukie chini ..milembe akapewa dawa akafanya kama alivyoagizwa..
23.akiwa pale chini anafukia gafla akakatwa na panga..alipoleta upinzani..akakatwa mkono na kiganja kutenganishwa...akakatwa shingoni...na Kisha usoni....roho ikauacha mwili..
24. Mara baada ya tukio...wauwaji wakachukua simu mbili za milembe (iphone na sumsung galaxy) kwanza wakaenda kutupa panga lililotumika si mbali sana na eneo la tukio chini ya Mti kwenye nyasi...
25 Kisha wakaenda kutupa sim zile ndani ya shimvla choo .(Chamber)
26.kisha wote wakatoweka kuelekea makwao huku malipo ya mwisho ya tsh laki nane yakifsnyika toka Kwa dayfath..
27.mtoto WA marehem yaan yule grace alipokujuja kutoka shule na kufika Kisha akaelezwa kuwa mama yake amefariki Kwa kuuwawa na baadae akafunuliwa jeneza...alilia na akazimia...
28 .alipozinduka akaenda akawaambia polis waliokuwa pale juu ya mtu anaemhisi kufanya mauaji hayo na hakupepesa macho akamtaj dayfath...na akasema alipomshauri Kwa nini asiondoke na kuachana na mama yake kwani wanapigana kila mara..dayfath akajibu akasema ataondoka mara baada ya kikamilisha mpango wake...hivyo anahisi huyu dayfath ndo kahusika....
29.polis wakaanzia hapo kufatilia nakichunguza ..watuhumiwa wakati WA mbaloni...
30..wote kwenye maelezo ya onyo walikiri kuhusika isipokuwa mshitakiwa WA nne Ambae mahakama ilikosa ushahidi WA Moja WA Moja hivyo akawa Hana kesi ya kujibu..akaachiwa...
31.ile chupa ya fanta,panga,simu zote zilionyesha ushahidi WA vinasaba kuhusika Kwa wauwaji...
32.watyhukiwa waliku4wa na hatia na kuhukumiwa kunyongea mpaka kufa.....
33.dereva bajaji alimtambua mtuhumiwa WA tatu..aliyekuwa amekaa Siti ya mbele siku wanaelekea site......
Kwa kifupi story nzima Iko hivyo.....nimesoma pdf ya hukumu Kwa mda WA saa Moja na dk tano.