Gurugurumee
Member
- Apr 4, 2024
- 31
- 48
Kaja na mkungu wa ndizi hahahaMdakuzi nimemuona leo tu humu jf lakin ajabu eti ameshapata manzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaja na mkungu wa ndizi hahahaMdakuzi nimemuona leo tu humu jf lakin ajabu eti ameshapata manzi
Kwa hiyo Dyfath alijua keshaachwa.Siku
Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko
Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
WalikurupukaHivi imeshia wapi..maana polisi nao walianza kumtafuta jamaa kama vile nbi muuaji.
Ilikuwa kabla ya Dayfath.Huyu Milembe pia alikuwa na uhusiano na mdogo wa aliyekuwa naibu waziri sijui wa wizara gani kipindi cha Magu (jina lake nimelisahau) sijui waliishia wapi? Maana alimvisha hadi pete hadharani akamla na denda
JPM nakumbuka alikataa hii issue ya viingereza mahakamani.ukoloni
Mimi ngoja niianze sasa hivi, kuna mtu kalala niko bored.Kwenye Pdf nimefika page 44 usingizi umeniandama.. ntamalizia keshoo
Watu wengine sijui wapoje, badala ya kula mzigo yeye analala tuMimi ngoja niianze sasa hivi, kuna mtu kalala niko bored.
Yuko mbali jamani!Watu wengine sijui wapoje, badala ya kula mzigo yeye analala tu
Nimesikia unasema amelala ndo sababu uko bored.. ngoja nihamie dar tusome wote hili pdf.Yuko mbali jamani!
Unakuta Police nae anahirizi inapumua,....Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.📌🔨💪🏿
Yeah, Mussa kusikia aliyoyafanya sirini , yanaropokwa hovyo mtaani,..alianua kama ngiri mkia juu V16 TURBO CHARGER,..🐗🐗🐗.huku wana wa Israel wakimsindikiza goma laV16 😂😂😂😂
Hayo ndo malipo ya maisha aliyoyachagua,.....Mimi nilikuwa ni jirani wa huyo marehemu milembe, sote tulikuwa tunaishi Geita mjini mtaa wa general tires (nyakalembo) barabara inayoelekea mgodi wa GGM, nilisikia story vijiweni wakimsema kuwa ni mbabe japo pia alikuwa Na mpunga wa kula bata za hapa Na pale, alitembelea gari nyeusi Aina ya hariel old model, alikuwa akiingia kwenye kumbi za starehe akiwa Na wapambe nyuma yake, alikuwa akimpenda mwanamke wako wewe sema unataka shilingi ngapi ili akulipe Na wewe upite hivi, mara nyingi kwenye kumbi za starehe alizokuwa akifika milembe siku hiyo lazima fujo zitokee Na chupa zitapasuliwa haswaaa....sehemu alipokuwa akiweka kambi marehemu milembe hasa kwenye kumbi za starehe usisogee kama wewe ni dhaifu kwa sababu muda wowote kinanuka, alipenda kuwaita wanaume "washkaji zake" akikukubali salaam yake kwa wanaume alikuwa anawapa" tano" .................. Alimiliki grossari yake pale maeneo ya shilabela.
Huyu pia kuna muda alikuwa anatembea na mdogo wake RK supermarket (sijui ni kweli ama accusation) kuna siku ulitokeaga ugomvi NMB pale ndo ikasadikika ni Milembe na huyo mdogo wake RKMimi nilikuwa ni jirani wa huyo marehemu milembe, sote tulikuwa tunaishi Geita mjini mtaa wa general tires (nyakalembo) barabara inayoelekea mgodi wa GGM, nilisikia story vijiweni wakimsema kuwa ni mbabe japo pia alikuwa Na mpunga wa kula bata za hapa Na pale, alitembelea gari nyeusi Aina ya hariel old model, alikuwa akiingia kwenye kumbi za starehe akiwa Na wapambe nyuma yake, alikuwa akimpenda mwanamke wako wewe sema unataka shilingi ngapi ili akulipe Na wewe upite hivi, mara nyingi kwenye kumbi za starehe alizokuwa akifika milembe siku hiyo lazima fujo zitokee Na chupa zitapasuliwa haswaaa....sehemu alipokuwa akiweka kambi marehemu milembe hasa kwenye kumbi za starehe usisogee kama wewe ni dhaifu kwa sababu muda wowote kinanuka, alipenda kuwaita wanaume "washkaji zake" akikukubali salaam yake kwa wanaume alikuwa anawapa" tano" .................. Alimiliki grossari yake pale maeneo ya shilabela.
Waganga feki walitaka kuweka zindiko kwenye pagale mganga wa jf alitaka kuweka zindiko bar!Siku
Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko
Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa