Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Msaada wa Mauti

WANAUME hao watatu hawakuwa na hamu ya kumsaidia tena Milembe kwa "dua". Kwani Genja alitoa panga lake, lenye makali yaliyokuwa tayari kwa kazi ya kinyama.

Iliogopesha sana. Bila kusema neno, Milembe aliinyanyua mikono yake juu kwa hali ya kama kujisalimisha, na kutii amri zao zote tangu wakati huo.

Kwani aligundua kuwa amezungukwa na watu katili. Kwa wakati huo, mwanga wa mwezi uliangazia kwa mbali, ukiwa unampa Milembe kivuli cha kifo.

Pigo la Kwanza
Pigo la kwanza lilimfanya Milembe atazame kwa mshangao. Macho yake yalifumba kwa sekunde chache.

Kabla hajapata nafasi ya kutambua kilichotokea, damu nyingi ilianza kuchuruzika kwa kasi toka kwenye jeraha la kichwa.

Milembe alijaribu kupaza sauti ya kuomba msaada, lakini pigo la pili lililopiga shingoni mwake lilikatiza yowe kabla hazijafika mbali.

Pigo hilo lililokuwa na nguvu zaidi, lilimuondoa uhai wake kwa haraka sana.

Mkono wake wa kulia ukakatwa, ukining'inia pembeni kama ishara ya mwisho ya upinzani wake wa kiutu, mwili ukapoteza nguvu.

Milembe hakuweza tena kupumua. Kilichobaki kilikuwa mwili uliojeruhiwa vibaya, ukiteleza chini kwenye sakafu ya nyumba isiyomalizika.

Mara baada ya kumuua, Genja na wenzake walitoweka haraka, wakijua wameacha alama kubwa ya kifo nyuma yao. Hakukuwa na kurudi nyuma.

Walikuwa wamepanga kila kitu kwa ustadi—kutoweka kwa simu za Milembe, kutupa ushahidi kwenye choo cha shimo, na kuficha kila ushahidi wa mauaji hayo.

Lakini, walisahau kama waliacha chupa ya Fanta kando ya mwili wa Milembe. Walifanya kosa kubwa la kiufundi.

Itaendele...

Ova
Uandishi mzuri....Mpangilio mzuri....Ikikupendeza ongeza Aya Mdakuzi....

Hapo kwenye chupa ya Fanta ndiyo hasa napataka...kumeanza kuchangamka..
 
Uandishi bora kabisa huu, story Ina mpangilio mzuri sana hakuna makosa ya mkato wala nukta wala nini.

Umeandika kisomi, wengi wanapaswa kuweka story zao kwenye uandishi kama huu.

Swali: huyu dada alikuwaga na uhusiano na binti fulani mdogo wake aliyekua waziri shonza na zile video zao wakipeana utamu zilitrend sana. Je ilikua ni kabla au baada ya huyo dayfath?
Ilikuwa kabla mwaka 2017, wakakamatwa wote na polisi ila sikuona mahali ilikuwaje, mauaji yamefanyika baada ya ile ishu, ila huyu bidada alikuwa noma 😅😅😅😅 Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito
 

Attachments

  • Screenshot_20241023-154032_YouTube.jpg
    Screenshot_20241023-154032_YouTube.jpg
    142.3 KB · Views: 3
Hapa tutavuluga mada hii...
Kuna kitabu nitawapa kinafundisha jinsi ya kusoma kwa speed...
Elimu yetu Tanzania ni shida Sana, unamaliza chuo kikuu bado "unasoma kwa kutamka kimoyomoyo neno kwa neno"
Mkuu naomba hicho kitabu mkuu wangu nakuomba sana mimi ni mpenz wa vitabu sana tatizo nachukua muda kusoma page 500 naweza kusoma hata mwezi
 
Hahaha...................Tena Siku hizi bei ya kusuka nywele imepanda, bila 50k Bibie hajasuka 🙌

Bora Bibi zenu Mwaka 47 walikuwa wanasuka twende kilioni tu, Mwanaume unatoa shilingi 150 tu Kwa Msusi kumpendezesha Mkeo
Eeh bhana,maisha ni hayahaya...tumia pesa ikuzoee....
NB:tumia faida tu...mtaji no
 
Ila mahusiano mengi ya wasagaji ni toxic, wanapigana sana. Ukiwa mtu wa viwanja vikubwa hapa town, dodoma au moro utaona, tunaamua sana maugomvi yao unadhan wanapigania mwanaume kumbe wanapigana kisa wivu.

Kuna siku tupo tumechill tu mara dem akatoka toilet tunashangaa anamfuata mwenzake na kumpiga bonge la kofi kisha akamwagia bia, kutatua ugomvi ikajulikana kumbe wivu, wanasagana na huyo dem sasa akaona dem ana hangout na mwanaume pale ndo ikawa kesi.

Malesbian ni takataka kabisa
Sure, nimeshuduhia jinsi cousin wangu anateseka
 
Siku
Mimi nilikuwa ni jirani wa huyo marehemu milembe, sote tulikuwa tunaishi Geita mjini mtaa wa general tires (nyakalembo) barabara inayoelekea mgodi wa GGM, nilisikia story vijiweni wakimsema kuwa ni mbabe japo pia alikuwa Na mpunga wa kula bata za hapa Na pale, alitembelea gari nyeusi Aina ya hariel old model, alikuwa akiingia kwenye kumbi za starehe akiwa Na wapambe nyuma yake, alikuwa akimpenda mwanamke wako wewe sema unataka shilingi ngapi ili akulipe Na wewe upite hivi, mara nyingi kwenye kumbi za starehe alizokuwa akifika milembe siku hiyo lazima fujo zitokee Na chupa zitapasuliwa haswaaa....sehemu alipokuwa akiweka kambi marehemu milembe hasa kwenye kumbi za starehe usisogee kama wewe ni dhaifu kwa sababu muda wowote kinanuka, alipenda kuwaita wanaume "washkaji zake" akikukubali salaam yake kwa wanaume alikuwa anawapa" tano" .................. Alimiliki grossari yake pale maeneo ya shilabela.
Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko

Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
 
Siku

Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko

Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
Mmh!
 
Back
Top Bottom