Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Professional killer huwa hawaachi chochote.Every crime leaves a trail behind
Ndio maana wanasema watu wasio julikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Professional killer huwa hawaachi chochote.Every crime leaves a trail behind
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.Professional killer huwa hawaachi chochote.
Ndio maana wanasema watu wasio julikana.
Mbona bado kuna case nyingi FBI wamekosa majibu mpaka leoKama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.
Mimi nikisema kila uhalifu huacha alama, wapelelezi makini ndio hugundua alama hizo.
There’s no such thing as a perfect crime.
Where's Ben8, soka, yule mwandishi wa mauaji ya kibiti, wapo wengi tu.Kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.
Mimi nikisema kila uhalifu huacha alama, wapelelezi makini ndio hugundua alama hizo.
There’s no such thing as a perfect crime.
Kuna crimes hadi leo FBI hawajasolveKama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.
Mimi nikisema kila uhalifu huacha alama, wapelelezi makini ndio hugundua alama hizo.
There’s no such thing as a perfect crime.
MShana Jr katia Nemo,,,,,EXPERIENCE MASTER🤝Siku
Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko
Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
Cousin wako nae anatumia hilo jina la pablo?Sure, nimeshuduhia jinsi cousin wangu anateseka
sasa hayo ya kibiti ni vitu classified, sio kama vina utata ndani ya ____ , kwa hiyo kama wewe ni private investigator pia utapata majibu.. Lakini zipo kesi kiuhalisia hata FBI wamekosa majibu mpaka leo.Where's Ben8, soka, yule mwandishi wa mauaji ya kibiti, wapo wengi tu.
Leo nilikua nasikiliza D2C kuhusu kijana Alie mpiga kibao mwinyi kwenye maulid... R.i.p sultan Nilitokwa na machozi...japo Mimi ni mkristo nilitokwa na machozi.
Ukisikiliza simuulizi za SATIVA unagundua kabisa Kuna askari mmoja alifanya uzembe pale ilipo semwa PIGA CHUMA HUYO. ..sijui Kama MAFWELE kamwachia askari huyo hai maana walifanya uzembe
Hapana kwasababu huko tiktok kuna jina anajiita sio pablo halafu mademu wanao kobolewa ndo wana wivu sana kuliko wakoboaji maana wakoboaji ni wachache so wanagombaniwa. Huyo ndugu yangu muonekano ndo nahisi unamponza kama yupo kama mwanaume.Cousin wako nae anatumia hilo jina la pablo?
Kuua au kusagana?Ujinga mtupu!
Nyamagana Garden?Siku
Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko
Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
Dah umenikumbusha mutaa ya Geita,kuna siku nimeenda Lenny Hotel ba binti mmoja,,akaagiza juice glass moja shilingi elfu nane,iliniuma sana,Mimi nilikuwa ni jirani wa huyo marehemu milembe, sote tulikuwa tunaishi Geita mjini mtaa wa general tires (nyakalembo) barabara inayoelekea mgodi wa GGM, nilisikia story vijiweni wakimsema kuwa ni mbabe japo pia alikuwa Na mpunga wa kula bata za hapa Na pale, alitembelea gari nyeusi Aina ya hariel old model, alikuwa akiingia kwenye kumbi za starehe akiwa Na wapambe nyuma yake, alikuwa akimpenda mwanamke wako wewe sema unataka shilingi ngapi ili akulipe Na wewe upite hivi, mara nyingi kwenye kumbi za starehe alizokuwa akifika milembe siku hiyo lazima fujo zitokee Na chupa zitapasuliwa haswaaa....sehemu alipokuwa akiweka kambi marehemu milembe hasa kwenye kumbi za starehe usisogee kama wewe ni dhaifu kwa sababu muda wowote kinanuka, alipenda kuwaita wanaume "washkaji zake" akikukubali salaam yake kwa wanaume alikuwa anawapa" tano" .................. Alimiliki grossari yake pale maeneo ya shilabela.
Mdakuzi nimemuona leo tu humu jf lakin ajabu eti ameshapata manzikwa hiyo tukusubiri mmalizane na mkeo kwanza au unapost tutulie?