Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.

Mimi nikisema kila uhalifu huacha alama, wapelelezi makini ndio hugundua alama hizo.
There’s no such thing as a perfect crime.
Where's Ben8, soka, yule mwandishi wa mauaji ya kibiti, wapo wengi tu.

Leo nilikua nasikiliza D2C kuhusu kijana Alie mpiga kibao mwinyi kwenye maulid... R.i.p sultan Nilitokwa na machozi...japo Mimi ni mkristo nilitokwa na machozi.

Ukisikiliza simuulizi za SATIVA unagundua kabisa Kuna askari mmoja alifanya uzembe pale ilipo semwa PIGA CHUMA HUYO. ..sijui Kama MAFWELE kamwachia askari huyo hai maana walifanya uzembe
 
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka tumewahi kubishana sana kuhusu hili.

Mimi nikisema kila uhalifu huacha alama, wapelelezi makini ndio hugundua alama hizo.
There’s no such thing as a perfect crime.
Kuna crimes hadi leo FBI hawajasolve

Hao wauaji wa kipuuzi, unaacha DNA kabisa kwenye crime scenes then unaenda kwa mganga eti akusafishe? huyo aliempiga mapanga alivyochizi alichubuliwa na panga upande wa mshikio, DNA za damu iliokua kwenye ncha za panga ikaonyesha ni za milembe na DNA za kwwnye mshikio zikaonesha ni za huyo Genja aliemkata mapanga. Yaan ilikua ni upuuzi wamefanya, too local.

Ila huyo dada nasikia milembe alikua amemrokodi videos nyingi za uchi na ndizo alikua akimtishia nazo kwamba wakiachana atazirelease, dada ni victim kama angefuata hatua stahili ila akaamua kuchukua shortcut, na ukiona hvo ujue she was really desparate.

Mtoto wa milembe kwa ushahidi aloutoa aliwah kumshauri huyo dada aachane na mama ake arudi kwao ila huyo dada akadai milembe anamtishia hizo videos na pia akasema ana malengo ya biashara anataka kuyafikia.

Hio case file ukiisoma imeelezia kila kitu in clear
 
Siku

Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko

Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
MShana Jr katia Nemo,,,,,EXPERIENCE MASTER🤝
 
Where's Ben8, soka, yule mwandishi wa mauaji ya kibiti, wapo wengi tu.

Leo nilikua nasikiliza D2C kuhusu kijana Alie mpiga kibao mwinyi kwenye maulid... R.i.p sultan Nilitokwa na machozi...japo Mimi ni mkristo nilitokwa na machozi.

Ukisikiliza simuulizi za SATIVA unagundua kabisa Kuna askari mmoja alifanya uzembe pale ilipo semwa PIGA CHUMA HUYO. ..sijui Kama MAFWELE kamwachia askari huyo hai maana walifanya uzembe
sasa hayo ya kibiti ni vitu classified, sio kama vina utata ndani ya ____ , kwa hiyo kama wewe ni private investigator pia utapata majibu.. Lakini zipo kesi kiuhalisia hata FBI wamekosa majibu mpaka leo.
 
Siku

Kuna ile bar kubwa pale Nyegezi tulitinga na mshkaji wangu lango hili la kushoto kwenye vijumba, ilikuwa jioni hivi
Mshkaji wangu huyo Muga ni marehemu sasa alipenda sana watoto wakali na kile kiwanja wapo wa kutosha
Basi tukamkuta mmoja kakaa kijumba cha kwanza baada ya parking anakunywa Heineken yake taratibu
Muga akaomba tujuimuike naye.. Mtoto akakubali ila akasema kuna mtu anamsubiri.. Muga akaona pengine geresha tuu.. Basi muhudumu alipokuja mrembo akaagiziwa Heineken tanko

Dakika ishirini nyingi ikaja Harrier nyeusi kwa fujo sana.. Ikapaki muhuni akashuka mdada kapanda juu ana rasta na kapelo..singlendi pensi na simple rubber
Akaja direct meaning kwetu kwenye kile kijumba akatusalimia kisha akamuuliza yule binti. Love uko ok? Yule akatikisa kichwa kuashiria hakuna shida akamwambia tuondoke basi
Binti akanyanyuka na kutuaga.. Yule demu naye akatuaga akituagizia bia tano tano na kutuambia huko anacheka nawaibia mrembo wenu..! Kibabe fulani hivi..
Baada ya pale ndio zikawa story zake .. Niliporudi Dar miezi michache baadae ndio akauliwa
Nyamagana Garden?
 
Mimi nilikuwa ni jirani wa huyo marehemu milembe, sote tulikuwa tunaishi Geita mjini mtaa wa general tires (nyakalembo) barabara inayoelekea mgodi wa GGM, nilisikia story vijiweni wakimsema kuwa ni mbabe japo pia alikuwa Na mpunga wa kula bata za hapa Na pale, alitembelea gari nyeusi Aina ya hariel old model, alikuwa akiingia kwenye kumbi za starehe akiwa Na wapambe nyuma yake, alikuwa akimpenda mwanamke wako wewe sema unataka shilingi ngapi ili akulipe Na wewe upite hivi, mara nyingi kwenye kumbi za starehe alizokuwa akifika milembe siku hiyo lazima fujo zitokee Na chupa zitapasuliwa haswaaa....sehemu alipokuwa akiweka kambi marehemu milembe hasa kwenye kumbi za starehe usisogee kama wewe ni dhaifu kwa sababu muda wowote kinanuka, alipenda kuwaita wanaume "washkaji zake" akikukubali salaam yake kwa wanaume alikuwa anawapa" tano" .................. Alimiliki grossari yake pale maeneo ya shilabela.
Dah umenikumbusha mutaa ya Geita,kuna siku nimeenda Lenny Hotel ba binti mmoja,,akaagiza juice glass moja shilingi elfu nane,iliniuma sana,
 
Back
Top Bottom