hizi taarifa LHRC na Ofisi za kibalozi za Mataifa ya OECD, hawapenzdi kuzisikia.Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.
Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.
Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!
unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.
Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.
Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Mbowe anaongoza mazezeta acha ayapige tu! Kazi kusikiliza umbea wa mange
CHADEMA hilo la udikteta na rushwa za viongozi wao, hawalioni shida kwa kuwa ustawi wa Watanzania haujawahi kuwa issue bali kuiondoa tu CCM. Wanataka kuzima moto kwa jirani wakati kwao moto huo umewashinda.Subiri uone watakavyomtetea Mbowe. CHADEMA kama sikio la kufa, hawajiulizi ni kwanini chama kimekuwa katika madeni yasiyoisha wakati hata ofisi hakuna. Kuwa na deni siyo dhambi ila madeni ya CHADEMA fedha zinaenda wapi? Ofisi hakuna, kila siku wanachangishana kulipia nini sijui? Na hapo hujataja zile fusso chakavu walizouziwa.
Kweli kabisa! Majitu yanavunjwa miguu, vichwa, yanadanganywa eti yanapigania ukombozi! Ukimuuliza nyumbu hata mmoja ukombozi gani anapigania, atabaki kukuangalia tu!Mbowe anaongoza mazezeta acha ayapige tu! Kazi kusikiliza umbea wa mange
Weka supporting documents kutoka BrelaKwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.
Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.
Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!
unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.
Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.
Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Mbowe na wanaohusika wawajibike kwa kuchezea kodi za watanzania kwa maslahi binafsi.
hahhaha kama kila skendo ikitolea basi chama kinatakiwa kifutwe basi ccm ingefutwa na mungu kabisa.Msajili anapaswa kuifutilia mbali Chadema!
umesahau kuwataja wale waliohonga nyumba za umma kwa vidosho wao kiongoziViongozi wa CHADEMA ni MAFISADI wakuu.
Yupii..au huyu ategemeae viwanda vya saluni.bado mnamuogopa Kamanda mbowe
Kineneko Mtei mkuuHaya ulitakaje?