Acha kuchanganya mada hapa tunazungumzia utafunaji wa pesa wewe unaleta habari nyingine,nadhani ulipata divisheni 0 kwenye mtihani wako wa kidato cha Nne.Uelewa wako ni mdogo sana.Soma hiyo mbona mnaitetea wakati hata international community imeshaweka saini? Kwanini la Mbowe uone la ajabu?
AFRICA’S NEW DICTATOR: Tanzania’s President John Magufuli bans Opposition Politicians from Politics
Jamaa aliwaweza sana lakini sasa hivi naona wamemshtukia walahi!Bila kusahau walitaka kuwaingiza raia choo cha kike kwa mtaji wa michango na matibabu ya TL! Mchaga noma! Jamaa hatari sana huyu, bado tetesi ya kuuza chama kwa mzee EL, bado fedha zinavyotoka na kutumika bila rekodi, ila jamaa kawapata kweli, sishangai hawamuondoi, chama ni chake, binafsi, cha familia, atakayepiga kelele asishangae yatakayomkuta, rekodi zipo kwa waliofanyiwa unyama..
Shubamiti...Jamaa aliwaweza sana lakini sasa hivi naona wamemshtukia walahi!
[emoji3] mimi sisemi kitu, maana hii JF niki comment lazima nipigwa ban.Kweli mnaitakia mema Chadema wana CCM!nilidhan ni vizuri adui ukimwacha aendelee kukosea;waambieni wamuache Mbowe kuwa M/kiti ili waendelee kujichimbia kaburi au mimi ndio sielewi.BTW huyu shemeji ana mume?naomba picha yake full maana wamigombani hawa sometimes usizuzuke na passport size pic
Hiyo ni kweli pia mimi nilisikia!Shubamiti...
Kawatafuna ile mbaya, kustuka kweli, ila hawana la kufanya, yoyote atakayepiga kelele anafanyiwa kweli..
Kuna u mafia mule wa Sicily! Watu hawajuwi tu..
Pathetic walahi hawa viumbe!Ngoja watu wake waje kumtetea mkuu wao, watakwambia mbowe ndio kiongozi nambari moja duniani wa upinzani,
Utaambiwa ruzuku ya chama huwa inatunzwa ili kumfariji mwenyekiti katika mapambano
Pathetic walahi hawa viumbe!
How possible!
Kungekuwa kuna maelezo yasababu ya kulipwa CAG asingetilia mashakaZimelipwa kwa shughuli/kazi gan ?? lete maelezo kamili, je kias kilicholipwa hakilingan na kazi waliyofanya ? Kaa utulize akiri na uandike vizuri.
Mkuu sio mazezeta ni kodi zetu zile ujue, kwa hiyo kama ni mtanzania mlipa kodi basi na nawe ni zezeta.Mbowe anaongoza mazezeta acha ayapige tu! Kazi kusikiliza umbea wa mange
mtoto wa kiume wewe acha unaffiki,weka ushahidi na vielelezo toka brella tujue ukweli sio umbea tu mnaofundishwa hapo lumumba,Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.
Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.
Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!
unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.
Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.
Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Kachotewa na Mwenyekiti pendwaKachotewa na nani? Kwa kazi gani? Haya ndiyo maswali ambayo mnayakwepa! Mnapiga tu pee peee peeee!!la maana hakuna!
[emoji1] [emoji1] mafianso wa Sicily(UFIPA street)Shubamiti...
Kawatafuna ile mbaya, kustuka kweli, ila hawana la kufanya, yoyote atakayepiga kelele anafanyiwa kweli..
Kuna u mafia mule wa Sicily! Watu hawajuwi tu..
Mkuu sasa Mange atabaki na nani wa kuwaandamanisha?Msajili anapaswa kuifutilia mbali Chadema!
Mbowe anaongoza mazezeta acha ayapige tu! Kazi kusikiliza umbea wa mange
Huwezi kumwona Salary Slip au BAK kwenye hii thread