Tetesi: Milestone International Co. Ltd iliyolipwa Milioni 866.6 ni kampuni ya Mbowe inayosimamiwa na shemejiye Kineneko Mtei

Tetesi: Milestone International Co. Ltd iliyolipwa Milioni 866.6 ni kampuni ya Mbowe inayosimamiwa na shemejiye Kineneko Mtei

Status
Not open for further replies.
Bila kusahau walitaka kuwaingiza raia choo cha kike kwa mtaji wa michango na matibabu ya TL! Mchaga noma! Jamaa hatari sana huyu, bado tetesi ya kuuza chama kwa mzee EL, bado fedha zinavyotoka na kutumika bila rekodi, ila jamaa kawapata kweli, sishangai hawamuondoi, chama ni chake, binafsi, cha familia, atakayepiga kelele asishangae yatakayomkuta, rekodi zipo kwa waliofanyiwa unyama..
Jamaa aliwaweza sana lakini sasa hivi naona wamemshtukia walahi!
 
Kwa hiyo Mbowe ndio anayepandisha deni la taifa?!!! Mimi binafsi sizugiki!
 
Kweli mnaitakia mema Chadema wana CCM!nilidhan ni vizuri adui ukimwacha aendelee kukosea;waambieni wamuache Mbowe kuwa M/kiti ili waendelee kujichimbia kaburi au mimi ndio sielewi.BTW huyu shemeji ana mume?naomba picha yake full maana wamigombani hawa sometimes usizuzuke na passport size pic
[emoji3] mimi sisemi kitu, maana hii JF niki comment lazima nipigwa ban.
 
Shubamiti...
Kawatafuna ile mbaya, kustuka kweli, ila hawana la kufanya, yoyote atakayepiga kelele anafanyiwa kweli..
Kuna u mafia mule wa Sicily! Watu hawajuwi tu..
Hiyo ni kweli pia mimi nilisikia!
Lichama limejaa watu fake kibao, hamna anaye mwamini mwenzake, ni mambo ya kuishi kichina tu walahi!
 
Ngoja watu wake waje kumtetea mkuu wao, watakwambia mbowe ndio kiongozi nambari moja duniani wa upinzani,

Utaambiwa ruzuku ya chama huwa inatunzwa ili kumfariji mwenyekiti katika mapambano
Pathetic walahi hawa viumbe!
How possible!
 
Zimelipwa kwa shughuli/kazi gan ?? lete maelezo kamili, je kias kilicholipwa hakilingan na kazi waliyofanya ? Kaa utulize akiri na uandike vizuri.
Kungekuwa kuna maelezo yasababu ya kulipwa CAG asingetilia mashaka
 
Aisee hii awamu ya JPM watu wasipokuwa makini watakuwa exposed mno!
 
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.

Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.

Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.

Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.

Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
mtoto wa kiume wewe acha unaffiki,weka ushahidi na vielelezo toka brella tujue ukweli sio umbea tu mnaofundishwa hapo lumumba,
 
Wataalamu wa money laundering fuatilieni transactions zote za hiyo kampuni toka ilipoanzishwa.Nasikia harufu ya panya aliyeoza mahali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom