Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
Tupo mwanza tunakopesha magari kwa kulipa kidogo kidogo
Karibuni sana
Kwa anaehitaji gari tuwasiliane kwa
0742159555
Karibuni sana
Kwa anaehitaji gari tuwasiliane kwa
0742159555
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tangazo la biashara?mbona halijakamilika?weka wazi kila kitu,bei,aina za gari,masharti,mapya au used nk!kuwa serious na biashara yako kaka!Tupo mwanza tunakopesha magari kwa kulipa kidogo kidogo
Karibuni sana
Kwa anaehitaji gari tuwasiliane kwa
0742159556
View attachment 430595
Hakuna gari ambayo haipo,kama hapa mwanza haitakuwepo tutaagiza yard ya dar es salam karibuni wotenahitaji coaster vigezo ni vp kuipata hyo gar
mkuu umeelewa swali uliloulizwa?Hakuna gari ambayo haipo,kama hapa mwanza haitakuwepo tutaagiza yard ya dar es salam karibuni wote
nahitaji coaster vigezo ni vp kuipata hyo gar
marejesho sh ngapi kwa mwezi mkuu?
Inategemea na gari unayochukua pamoja na thamani ya gari husikamarejesho sh ngapi kwa mwezi mkuu?
tuassume gari ya m 10Inategemea na gari unayochukua pamoja na thamani ya gari husika
Kuanzia asilimia 50 - 70 ndio kianzia (deposit) kiasi kinachobaki utamalizia kwa kulipa kulingana na makubalianoNa aseme malipo ya awali ni asilimia ngapi ya thamani yote ya gari? Naona anasema tu unalipa pesa kiasi flani kisha zingine unalipa kidogokidogo.
Kuanzia asilimia 50 - 70 ndio kianzia (deposit) kiasi kinachobaki utamalizia kwa kulipa kulingana na makubaliano
5 - 7 miliontuassume gari ya m 10
Usijali tumejipanga juu ya hiloNamna hiyo mkuu, sasa kwa hali hii mmpejipangaje kuwa na kikosi cha kuwapitia wakopaji na kujiridhisha uwezo wao wa kulipa hasa kwenye hichi kipindi cha mpito? Biashara zinafungwa, makapuni yanatangaza hasara, hilo mtakabiliana nalo vipi mkuu? Shukrani
Usijali tumejipanga juu ya hilo