Car4Sale Miliki gari kwa kulipa kidogo kidogo

Car4Sale Miliki gari kwa kulipa kidogo kidogo

mtu anayefanya kazi serikalini unakuwa na uhakika maana kufukuzwa kwake ni kazi kubwa(japo sio karne hii)private sector mda wowote anatimuliwa mtawezaje kumkopesha mtu huyo?Kwa mfano nahitaji gari la m 8,nalipwa m 2 net nkilipa m 4 hyo 4 utaigawa vipi kulingana na mshahara wangu?so ntalipa kwa mda gani?
Kutokana na uwezo wako ntakupa miezi mnne
 
Hawa watakuwa madalali. Hiyo wanayosema asilimia 70 ndio bei halali ya gari na inayobakia asilimia 30 ni ya kwao
 
Kama wewe ni Mteja karibu ofisini uchague gari tufanye biashara
 
am sure kero ni kulitoa gari then mkabaki na kadi ya gari!
 
Suzuki carry truck 650 cc ya kichwa kikubwa bei gani?
 
Mara nyingi biashara hii biashara huwa unaacha kadi ya gari unalipa nusu nyingine huweza kulipa mpaka mwaka ishu inakuja ukishindwa lipa gar si yako au ukipata ajar mkopo unaendelea tu
 
Mkuu Waabeja sana! LAND CRUISER PICK-UP MACHO YA PANZI MODEL 2013,2014 NA 2015 bei gani? Unatanguliza ngapi adv? na inayobaki ni kwa muda gani unatakiwa umalize deni? Naomba majibu mkuu....
 
Huyu jamaa muongo huyu,Namba yenyewe aloweka si yake anapokea Dada wa watu yuko huko iringa ukimuuliza yy mwenyewe anashangaa
Anasema wengi wamempigia na habari wanazomuambia ni kuhusu magari..
Kua serious mkuu
 
Mtapewa gar bila kadi halafu baadae mnatengenezewa bonge la story...kaeni chonjo
 
Back
Top Bottom