Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
- Thread starter
- #61
Jamani kukosea kupo(typing error) cheki hiyo Namba nimeiandika vizuri sasa,naombeni samahani sana kwa wote waliopata usumbufu ..sasa hivi nimerekebisha Namba napatikana vizuri 'karibuni sana'Huyu jamaa muongo huyu,Namba yenyewe aloweka si yake anapokea Dada wa watu yuko huko iringa ukimuuliza yy mwenyewe anashangaa
Anasema wengi wamempigia na habari wanazomuambia ni kuhusu magari..
Kua serious mkuu