Car4Sale Miliki gari ya heshima Fortuner ya mwaka 2013

Hio gari ni ya hapa Moshi, naijua sana mwenye nayo alishawahi nisababishia ajali akaenda kunifanyia service kwa gharama zake.

Hapo pichani ni barabara ya kwenda TPC baada ya kupita Getifonga.
Sahihi kabisa mkuu ,huenda akaona hata hii comment yako akajua kumbe yule jamaa wa siku ile nilimsabibishia ajali ni Extrovert
 
Hio gari ni ya hapa Moshi, naijua sana mwenye nayo alishawahi nisababishia ajali akaenda kunifanyia service kwa gharama zake.

Hapo pichani ni barabara ya kwenda TPC baada ya kupita Getifonga.
Mkuu ebu tupe udabwi dabwi kdogo siku hyo ajali ktk mazingira gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…