mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Msijali watumishi IST/Carina ti zipo kwa ajili yenu mkuu.Gari kali ila watumishi tutabaki kulichungulia tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msijali watumishi IST/Carina ti zipo kwa ajili yenu mkuu.Gari kali ila watumishi tutabaki kulichungulia tuu
Ili gari ni zuri lakini tatizo lake ni kutokuwa stable barabaraniUshawahi kuendesha mkuu,nimepost hii gari naijua vizuri
Usisubiri zishuke mkuu,vunja kibubu tu uchukue kitu roho yako inapendaHizi gari nazipenda lakini sijui kwanini bei zake hazishuki wakati wameshatoa model mpya yake...
Watumishi nao wanicheki tu gari zao ninazoMsijali watumishi IST/Carina ti zipo kwa ajili yenu mkuu.
baki huko huko kwenye nissan CUBE yako mkuu... hii huiwezi..Gari hii mbona kimeo
Mimi natumia haojue bossbaki huko huko kwenye nissan CUBE yako mkuu... hii huiwezi..
Mods waliua ule uziUle uzi wako wa magari uko wapi?
Ni ukichaa uliopitiliza kumuundia tume BillieNaweza kuinunua hiyo gari ila naogopa kuundiwa Tume wacha nibaki huku kwenye RAV4
CUBE na Bb sizipendi zile garibaki huko huko kwenye nissan CUBE yako mkuu... hii huiwezi..
Bei elekezi rafikiToyota Fortuner
Model year:2013
Engine:1kd
Diesel
Manual
Bei: Milioni 65 (negotiable)
Contact:0658124554
Mashine ya safari hii mkuu usiikose
View attachment 1529192View attachment 1529193View attachment 1529194View attachment 1529195View attachment 1529197
Tuwasiliane mkuu 0658124554Bei elekezi rafiki
Nilianzisha tena ukafutwaNdg anzisha tena uzi wa magari.
Nilianzisha tena ukafutwa
Kwahiyo hapo kainyoosha sehemu na kupiga rangi sehemu kadhaa.Hio gari ni ya hapa Moshi, naijua sana mwenye nayo alishawahi nisababishia ajali akaenda kunifanyia service kwa gharama zake.
Hapo pichani ni barabara ya kwenda TPC baada ya kupita Getifonga.
Kwa mujibu wa maelezo ya extrovert jamaa siku hiyo alikua na Audi hii Fortuner haina historia ya ajaliKwahiyo hapo kainyoosha sehemu na kupiga rangi sehemu kadhaa.
Sifa kwa fundi baada ya ajali
Tumepata taarifa zaidi ya gari