Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Kuna mzee pale Tegeta karibu na Kibo complex amekataa kodi ya mil 3 kwa mwezi hata angekubali nisingepaweza pale inabidi nisogee nje ya mji..!Inategemea na unapo taka kuiweka hiyo bar.
Haha pale Kila mtu anakimbia hiyo Beikuna mzee pale tegeta karibu na kibo complex amekataa kodi ya mil 3 kwa mwezi hata angekubali nisingepaweza pale inabidi nisogee nje ya mji..!
anataka afanye biashara mwenyewe lakini ni mwaka wa 3 sasa anakataa kodi za watu!Haha pale Kila mtu anakimbia hiyo Bei
Nilimpa 1 akanitimua
Pale abomewe aweke fremu atapata zaidi ya hiyo bar
Kabla hujafanya biashara yoyote ile ni lazima uijue hiyo biashara kwa kufanya utafiti, wapinzani wako ni wakinanani nguvu zao zikoje mapungufu yao, wateja wao ni wakinanani na wanapatikana wapi, wewe nguvu zako na mapungufu yako wateja taraji, utakabliana vipi na upinzani uliopo na ujao kwakifupi ni lazima uwe na andiko la biashara.Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha tv 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Uzoefu ninao wa kunywa tu wa biashara ya bar sina. kuangalia washindani wangu hili nitalizingatia lakini pia kwasababu sina uzoefu itabidi nikae kaunta angalau mwezi mmoja then ndo niweke mtu.Kabla hujafanya biashara yoyote ile ni lazima uijue hiyo biashara kwa kufanya utafiti, wapinzani wako ni wakinanani nguvu zao zikoje mapungufu yao, wateja wao ni wakinanani na wanapatikana wapi, wewe nguvu zako...
Haitoshi kwa Bar, labda grocery ndogo.10 itatosha ni kuipangilia vizuri.
Hiyo siyo budget mkuu na simaanishi kukuharibia siku yako ila achana na hiyo biashara huiwezi.Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha tv 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Kama huna sifa hata moja kati ya hizo za wajasiriamali huwezi kufanya biashara yoyote, mimi ni muelimishaji elimu ya ujasiriamali kwa vitendo na pia naandika kitabu cha ujasiriamali, ambacho utakisoma unakiweka kwapani unaanzisha biashara, (simama dede), karibuUzoefu ninao wa kunywa tu wa biashara ya bar sina. kuangalia washindani wangu hili nitalizingatia lakini pia kwasababu sina uzoefu itabidi nikae kaunta angalau mwezi mmoja then ndo niweke mtu.
Zinatosha sana Bora kuanza biashara ndogo yenye makosa kidogo nirahisi kuyajua ,kujifunza na kuyarekebishaHaitoshi kwa Bar, labda grocery ndogo.
Huku si kupeana moyo ni kupotoshana.
Hapana, biashara lengo lake ni kupata faida.Zinatosha sana Bora kuanza biashara ndogo yenye makosa kidogo nirahisi kuyajua ,kujifunza na kuyarekebisha
Nina mpango wa kuandika hiyo template ambayo itakuwemo kwenye kitabu changu, but at my own time after conducting a. Market research within my mapping area as a reference in my book, hapa tunajaribu kuelimishana not showing off that we are more knowledgeable than othersHapana, biashara lengo lake ni kupata faida.
Na kama ukitulia kidogo na kufanya utafiti, utapata faida. Pia siyo lazima uanze na kitu kikubwa, unaweza kuanaza na biashara ndogo na ukaikuza...
Sasa kama hujawahi fanya huo utafiti, au huna experience ya hiyo biashara, kwanini unatoa ushauri?Nina mpango wa kuandika hiyo template ambayo itakuwemo kwenye kitabu changu, but at my own time after conducting a. Market research within my mapping area as a reference in my book, hapa tunajaribu kuelimisha not showing off that we are more knowledgeable than others
Mkuu mambo vipi,Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Unatatizo kichwani yaani mimi nianze kuandika template hapa km unataka naweza kukukuandikia dodoso ili ufanye utafiti, mimi ni muelimishaji elimu ya ujasiriamali na nimebobea kwenye eneo Hilo hata hiyo biashara nimewahi kufanya , Hiyo biashara inarudisha uwekezaji wako ndani ya miezi 6 km utaifungua kwa kishindo, (with a big bang)Sasa kama hujawahi fanya huo utafiti, au huna experience ya hiyo biashara, kwanini unatoa ushauri?
Hili ni jibu sahihi, japo soda kwangu ningetoa.Mimi nnaona fanya kaz ya kuuza vinywaji vikal,Beer na Soda kwa Jumla.
Ukipenda njoo nkupe Tips zaid