Tuma nikuelekezeMilion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Huko nyuma nimeeleza pia, nimewahi ifanya hii biashara hamn kitu nisichokijua kuanzia mtaji wa vinywaji, jinsi ya kupata wahudumu, kuongeza mauzo,kuvutia wateja n.k... Mimi nilifungua na 6mil lakin haikuwa bar, baadae nikaongezea mapooltable na African slots Machines mkoani huko.Mkuu mimi nna Liquor Store nlianza kwa mtaji la 7Million. Kikubwa n Business Location tu
Pombe kali ni hennesy peke yake??, 😂😂😂😂... Wanaweka chupa ya hennessy tupu au sio alf mteja akiiagiza????
Ndio nimefanya, na wewe sasa sijaelewa unachobisha ni kipi?Ww umewah kufanya hii Biashara.....?
10 mbona nyingi lol .Pia inategemea na eneo!
umeongea vizuri sana huna baya hongera kwa mawazo chanya hata bilionea Mengi (R.I.P) aliwai kusema watu wengi wanafail kabla ya kuanza.Biashara haihitaji kuuliza uliza ata kama una laki unaweza fanya Biashara ukapata faida ukakuza Biashara , kama kuna kitu umewaza kufanya wewe fanya haraka mkuu.
nitume nini?Tuma nikuelekeze
Kabisa mkuu vijana wasomi inabidi waambiwe naked true.umeongea vizuri sana huna baya hongera kwa mawazo chanya hata bilionea Mengi (R.I.P) aliwai kusema watu wengi wanafail kabla ya kuanza.
Unaweza kufafanuaIla ukifungua jithidi biashara yako iwe business oriented .
Maana biashara ya bar huwa hazichanui
Kaka unafanyia mkoa gani busness ya vinywaji vya jumla?Mimi nnaona fanya kaz ya kuuza vinywaji vikal,Beer na Soda kwa Jumla.
Ukipenda njoo nkupe Tips zaid
Biashara ya soda ni kituko.Hili ni jibu sahihi, japo soda kwangu ningetoa.
Aiseeh[emoji23][emoji23]Samahani, unaonekana una kiburi na dharau na unapenda kubishana na hutaki ushauri!
Tuanzie hapa kwenye mziki 'heavy duty', hapa nilivyokuelewa unataka disco kwa kifupi unataka wenye bar wengine waufyate!
Chukua hiyo milioni kumi nenda nayo pale congo (Kariakoo) ulizia full package ya disco sound bei ya chini ni kiasi gani! Kitachobaki kafungulie bar!
Npo DarKaka unafanyia mkoa gani busness ya vinywaji vya jumla?
TV ni lazima uweke 3?Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Analeta mbwembwe, anaona mil 10 nyingi sana!TV ni lazima uweke 3?
we mzee nipatie namba yako ya simu, kuna kitu nilikua nakitafuta naona ww umekiongea hapa,Acha kuwatisha wanaoanza Biashara hii. Kwa 10Million anaweza kufanya chochote kwenye upande wa Duka la Vinywaji vikal na Bia.