Big Nyota
JF-Expert Member
- Apr 2, 2018
- 378
- 575
Bora mkuu utusaidie kumwambia huyu mtu kwa sabub ana kichwa kigumu halafu hakuna kitu anaelewa ni ubishi tu na kuvimba kichwa!bar nazielewa kama unataka kupoteza pesa yako mda mfupi usifungue bar.
Naelewa tabia za bar kwanza zina shiriki nyingi,pili zinataka madanguro mfano kubadilisha wahudumu ili wateja kuchangamkia