Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo patamuBajeti yako ya kuhudumia hilo gari kwa mwezi ipoje? Mafuta au service ikitokea imepata hitilafu?
Nadhani kununua gari sio tabu, shida inakuja kuihudumia kwenye mafuta, parts and services.
Akikujibu tu, basi atakua keshapata jibu kamiliBajeti yako ya kuhudumia hilo gari kwa mwezi ipoje? Mafuta au service ikitokea imepata hitilafu?
Nadhani kununua gari sio tabu, shida inakuja kuihudumia kwenye mafuta, parts and services.
Naomba wajuzi mniambie, kuna jamaa wanasema nichukue IST kwa ajiri ya kupata uzoefu wa magari kwanza
Vuta chuma unayoipenda..gari yangu ya kwanza ilikua expensive kwa upande wangu lkn sikua nashindwa kuiweka mafuta wala sijashindwa kuiendesha kisa nilishindwa hudumia spear sbb haikuwahi haribika kipindi chote cha utumiaji wa miaka mitatu adi kuiuza sikuwahi gusa popote zaidi ya service za oil tu..asikutishe mtu uanze sukuma katoroli IST wakati una budget nzuri kabisa..adi ushike mil 22 mkononi basi una uwezi wa kumiliki ndinga yoyote ya saizi ya kati..
Umetumia kipimo gani kugundua hafanani na mil 22?Mkuu mbona hufanani na hizo mil 22 au ni hongo mlizohongwa wajumbe wa ccm
inaweza ikawa mill 22 ya biko aje kuteseka na bimmer..Vuta chuma unayoipenda..gari yangu ya kwanza ilikua expensive kwa upande wangu lkn sikua nashindwa kuiweka mafuta wala sijashindwa kuiendesha kisa nilishindwa hudumia spear sbb haikuwahi haribika kipindi chote cha utumiaji wa miaka mitatu adi kuiuza sikuwahi gusa popote zaidi ya service za oil tu..asikutishe mtu uanze sukuma katoroli IST wakati una budget nzuri kabisa..adi ushike mil 22 mkononi basi una uwezi wa kumiliki ndinga yoyote ya saizi ya kati..
Uko sahihi kabisa mkuu, naona watu wengi wanakimbilia magari makali alafu baada ya mda wanayapaki ata hela ya mafuta hanaBajeti yako ya kuhudumia hilo gari kwa mwezi ipoje? Mafuta au service ikitokea imepata hitilafu?
Nadhani kununua gari sio tabu, shida inakuja kuihudumia kwenye mafuta, parts and services.
Wenye matrekta wenyewe ni maskini tu.Nenda 88 kafanye mpango ununue trekta utalipa taratibu utakufa maskini ...
Nunua gari ya ndogo ya M5,zingine wekeza,piga kazi uje ununue gari ya M100,Naomba wajuzi mniambie, kuna jamaa wanasema nichukue IST kwa ajiri ya kupata uzoefu wa magari kwanza
Aisee eti aachane na katoroli! Watu wanadharau sana.dah! leo ndio nimeamini watu wa jamiiforum mna maneno machafu sana, kebehi na ujuaji mwingi na kujiona mmefika zaidi ya mtu yoyote ambae hana experience kwenye jambo flani. kwani mtu hauwezi kumjibu mtu bila kumkebehi?.