Masterkratos
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 584
- 576
Aisee eti aachane na katoroli! Watu wanadharau sana.
Kweli mkuu watu wanajiona miungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee eti aachane na katoroli! Watu wanadharau sana.
Kwa pesa iyo chukua Alphard hutojutia .Naomba wajuzi mniambie, kuna jamaa wanasema nichukue IST kwa ajiri ya kupata uzoefu wa magari kwanza
Nunua gari ya ndogo ya M5,zingine wekeza,piga kazi uje ununue gari ya M100,
Brevis unataka kumuua mwenzio kwa Pressure Bora aendelee na mpango wake wa IST hizo hela nyingine akahonge tuKaka nisikilize,
Kama hujawahi kabisa kumiliki gari ya kukuchangamsha akili. Nunu brevis 6mil hizo zinazobaki zitakupa uzoefu wa spea na mafuta.
Ist itakulemaza akili.
Crown ni TZS ngapi mpaka ipo barabarani, makadrio?Mkuu uzoefu sio shida, nlianza BMW 3 series kama gari yangu ya kwanza, then subaru legacy b4......kwa bajeti hiyo daka hata crown paka mweusi mkuu ule mema ya nchi!
Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
Daima gari bei haiwez kuwa fixed mana hutegemeana mambo mengi kama mwaka, rangi nk...ila kwa bajeti hiyo unapata na haiishiCrown ni TZS ngapi mpaka ipo barabarani, makadrio?
Nimeandika makadrio.Daima gari bei haiwez kuwa fixed mana hutegemeana mambo mengi kama mwaka, rangi nk...ila kwa bajeti hiyo unapata na haiishi
Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
Hapo sawa.
Ist haikufai kama unajimudu tafuta Rav4 Massawe hiyo ndio chuma mpk unakujakuwa mzoefu lenyewe bado lipo imara tu.
Ni zile za mwanzo mkuuRav 4 Masawe ndo gari gani hilo??...Majina ya kitaa bhana dah