Milioni 4 inatosha kufungua biashara ya grocery au duka la pombe kali?

inatosha sana, tafuta sehemu wanapokaa wafanya kazi ngumu ngumu. halafu weka pombe kali, anza kupima za buku buku... zed, kvant, mond, nyagi
 
Kauze maembe
 
Kama we mzuri na una lugha laini hata 2 inatosha kwa liquor shop
 
Ila grocery ni duka la kuuza mboga mboga na matunda nadhani hili hata kwa ml 2 unafungua tena la kisasa kabisa Cha msingi upate wauza mboga na matunda wazuri wawe wanakuletea na uwe na fridge zuri
 
Just remember 9 out of 10 bussness fails during 5 years of business so expect it.
 
We should not fear life just because it has twists and turns! Uoga wetu ndio umasikini wetu.
No my point is reminds him how hard it takes to be businessman we have to fall many times before being successful in what we do so we should never give up even if we fail many times.
 
Just remember 9 out of 10 bussness fails during 5 years of business so expect it.
Consistency ndo inafelisha wengi,, watu sio wavumilivu wanataka mafanikio ya haraka, nidhamu ya pesa nayo ndo sababu ya business kufa maana mtaji unakata mapema biashara inafungwa.
 
Sina uzoefu sana na hio biashara lakini kuhusina na watu wanaojishughulisha na hio biashara wengi ninaofahamiana nao mtaji wao hakuna alie zidi milioni tatu.
Wewe anza uzoefu na ujuzi utaupata baada ya kuanza.
Iwe heri kwako.
Wewe unaongelea pub hizi za mtaani
 
Bado hapo unatakiwa uache hela ya emergency hata 1M incase, hio pesa haitoshi
 
Inatosha kabisa kufungua grocery..
1.Mtaji wa vinywaji milioni moja na nusu
2.viti, meza, friji ndogo, naksinakshi milioni moja na nusu
3.Pango miezi sita na mengineyo milioni moja, huitaji efd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…