Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Usije ukaiweka 4m yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauze maembeHey, wapendwa
4M inatosha kufungua grocery?
Kama inatosha je vitu gani muhimu?
Na yenyewe inatakiwa kuwa na Vibali au unaweza kufungua kama duka la mangi?
Nafikiria kwenda field ili nipate uzoefu
Yaani niombe kazi hizo sehemu zinazouza pombe, sijuh ni grocery au ni bar.
Ili niweze kufahamu 1,2,3
Kama unafahamu kuhusu hii business basi naomba nipewe uzoefu.
Yaan hiyo pombe hiyo chupa 1 tu inauzwa 2,000,000 na watu wananunua ???Huo mtaji unaweza kufanya biashara zozote kati ya hizo mbili cha msingi amua unatarget wateja wa level zipi za kiuchumi.. Ukikosea hapo huo mtaji wako hautotosha hata kununua henneesy mbili
Mleta mada chukua na huu ushauri@Mwanaumke wa mithali.inatosha sana, tafuta sehemu wanapokaa wafanya kazi ngumu ngumu. halafu weka pombe kali, anza kupima za buku buku... zed, kvant, mond, nyagi
ShukranMleta mada chukua na huu ushauri@Mwanaumke wa mithali.
We should not fear life just because it has twists and turns! Uoga wetu ndio umasikini wetu.Just remember 9 out of 10 bussness fails during 5 years of business so expect it.
No my point is reminds him how hard it takes to be businessman we have to fall many times before being successful in what we do so we should never give up even if we fail many times.We should not fear life just because it has twists and turns! Uoga wetu ndio umasikini wetu.
Consistency ndo inafelisha wengi,, watu sio wavumilivu wanataka mafanikio ya haraka, nidhamu ya pesa nayo ndo sababu ya business kufa maana mtaji unakata mapema biashara inafungwa.Just remember 9 out of 10 bussness fails during 5 years of business so expect it.
Wewe unaongelea pub hizi za mtaaniSina uzoefu sana na hio biashara lakini kuhusina na watu wanaojishughulisha na hio biashara wengi ninaofahamiana nao mtaji wao hakuna alie zidi milioni tatu.
Wewe anza uzoefu na ujuzi utaupata baada ya kuanza.
Iwe heri kwako.
Tukupe wewe ufungue.?Unafungua vizuri
Bado hapo unatakiwa uache hela ya emergency hata 1M incase, hio pesa haitoshiWanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.
Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo
Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.
Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.
Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
Sina la kusema Kwa hapo,umemaliza kila kituBado hapo unatakiwa uache hela ya emergency hata 1M incase, hio pesa haitoshi
Inatosha kabisa kufungua grocery..Wanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.
Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo
Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.
Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.
Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
Nilishawahi kufungua tabata nikafunga..!Tukupe wewe ufungue.?