Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.kiongoz ntaliangalia hlo coz mwanz nilifikilia dumila
Mkuu naomba nikupm kama hutojaliKafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
inatosha na kubaki. renovation ya chumba cha biashara haitazidi 20m. 50m ni kuchukua mzigo.HabarI wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mil 70 inatosha kufungua pharmacy ya jumla location Dodoma?
Sahihi kabisaKafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
Renovation 20ml? 😨inatosha na kubaki. renovation ya chumba cha biashara haitazidi 20m. 50m ni kuchukua mzigo.
Any update mkuu ulifanikiwa au bado unakusanya maoni?HabarI wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mil 70 inatosha kufungua pharmacy ya jumla location Dodoma?
Mil 70?Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
Umeeleza vizuri sana.Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
ndio, imejumuisha kodi ya mwaka, shelves zenye hadhi ya pharmacy, maboresho ya chumba kwa ndani na nje na hapo jua sio chumba kimoja, lazima kuwe na kachomba ka ndani (store) na mambo mengine. hapo tunaongelea pharmacy sio ya kuuza rejereja, ni ile ya jumlajumla. inatakiwa kuwa na hadhi ya hali ya juu ama la itakuwa sawa na za rejareja au duka la dawa muhimu tu.Renovation 20ml? 😨
Kariakoo pale kwa wazito. Wale wenye mitaji mikubwa. Wengi ni importers - yani huagiza dawa moja kwa moja toka nje ya nchi au kiwandani. Kwa milioni sabini ndogo haitoshi kununua dawa kiwandani moja kwa moja ili ushindani na wenzako. Tutafuta location ya nje ya mji wewe ndio uwe nyngumi huku.Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
KaribuMkuu naomba nikupm kama hutojali