Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??Mil 70?
Frame akibahatika chini sana hiyo30 imeisha...
Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri
Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao
Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo