Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??

Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri

Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao

Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo
maximum frem atalipia laki tano kwa mwezi hadi laki mbili na nusu kwa chini sasa piga mara 12 au x miezi 6 mkupuo. ila matengenezo ya ndani kuanzia shelves za kipharmacy (sio za kiduka la dawa muhimu) na maboresho yoote, haipungui 10 - 15. bado matengenezo kwa nje kama ubao wa tangazo la uwepo wa pharmacy (digital), bado hajaweka akiba ya kulipa wafanyakazi si chini ya wawili watakaopokezana kwa zamu, na pia, kama wewe sio mfamasia jua sio chini ya 1m utakuwa unalipia cheti cha mfamasia kukitundika pale. iliyobaki ni mtaji, manake yeye anasema ni duka la jumla.
 
maximum frem atalipia laki tano kwa mwezi hadi laki mbili na nusu kwa chini sasa piga mara 12 au x miezi 6 mkupuo. ila matengenezo ya ndani kuanzia shelves za kipharmacy (sio za kiduka la dawa muhimu) na maboresho yoote, haipungui 10 - 15. bado matengenezo kwa nje kama ubao wa tangazo la uwepo wa pharmacy (digital), bado hajaweka akiba ya kulipa wafanyakazi si chini ya wawili watakaopokezana kwa zamu, na pia, kama wewe sio mfamasia jua sio chini ya 1m utakuwa unalipia cheti cha mfamasia kukitundika pale. iliyobaki ni mtaji, manake yeye anasema ni duka la jumla.
Frame hakuna kkoo ya kuuza dawa za jumla kwenye lile eneo utapata kwa laki tano.

Mkuu dawa hazina bei hiyo 70M inatosha trust me!!!
 
Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??

Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri

Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao

Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo
Watu wanapenda kutisha watu frame kkoo bei za ajabu,
Ila ukienda bei ni 300-1000k

Tena nzuri tu, ukiwa mtu wa maneno unampanga mwenye frame anakupa kwa miez 6
 
Mil 70?
Frame akibahatika chini sana hiyo30 imeisha...
Nyinyi ndo hamjawahi kua kwenye game, hapo kkoo nilikua napaogopa ila nimeingia kwenye game uhalisia ni tofauti kabisa Yani, frame za milion 30 kwa mwaka na vilemba ndio zipo, ila hata za milion 15 kwa mwaka zimejaa tele sana mpaka zinamwagika
 
Kariakoo pale kwa wazito. Wale wenye mitaji mikubwa. Wengi ni importers - yani huagiza dawa moja kwa moja toka nje ya nchi au kiwandani. Kwa milioni sabini ndogo haitoshi kununua dawa kiwandani moja kwa moja ili ushindani na wenzako. Tutafuta location ya nje ya mji wewe ndio uwe nyngumi huku.
Ukihitaj cheti na huduma ya mfamasia nichek PM
Mtaji kariakoo kwa wastani ni sh ngapi?
 
Mtaji kariakoo kwa wastani ni sh ngapi?
Milioni 70 kando kando ya mji ni nyingi tu na jumla unafanya na faida kubwa unapata.

Changamoto ni pale kiriakoo ukiingia kichwa kichwa unaweza kuumia. Maana ushindani wake sio haba

Kimsingi fanya utafiti kwanza wa mazingira na machimbo ya kupata dawa kwa bei nafuu kabla hujaanza hiyo biashara ya jumla.
Best of luck
 
Wengine Tupo kwenye gemu la dawa muda Sasa Kuna mengi tunayajua kwa ku dedicate muda na subra + working hard spirit bila kumsahau mwenyezi Mungu..

Kuna kipindi jina lilikua kubwa Sana dsm ninayo team uki iweka hiyo 70m una transform life forever..naijua industry in and out kuanzia brands za dawa na everything kwenye hii industry

Wewe utadili na PESA na mizigo customer base ma strategies nakuhakikishia utaiona faida ie. Nina customer base ya ku sale not less than 50m cash monthly...

Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment

Kama upo seriously nicheki tunaweza fanya kitu Raman ya vita yote ninayo ni ku copy na paste..
Hahahahahaha we jamaa hutaki Tsh 50m monthly? Hiyo environment unayoenda itakupa 50m per month? Acha kuleta ujanja hapa.
 
Daah tutafika lini sijui idea za biashara tunazo mitaji hatuna. Kukopa tunakwamba hatuna dhamana.

Yote kwa yote hongera, kuna stage ukifika ni ya kujipongeza.
Share hizo idea na sisi tuzione kama nzuri ili siku tukipata hela tujilipue
 
Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.

Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
Aiseee.
Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.

Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
 
Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??

Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri

Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao

Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo
Mkuu simara naomba ni dm please naona ume lock dm nashindwa kukutumia message
 
Back
Top Bottom