Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamuelewa rudia kusoma vizuriHahahahahaha we jamaa hutaki Tsh 50m monthly? Hiyo environment unayoenda itakupa 50m per month? Acha kuleta ujanja hapa.
Pesa uliyonayo si nyingi kama utakurupukaHabarI wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mil 70 inatosha kufungua pharmacy ya jumla location Dodoma
Nami Moja kwa moja ktk jibu (Sory mm si mwandishi mzuri) Mtaji ulonaonunatosha kufanya biashara tajwa popote lkn ili kufanikiwa nenda pahala ambapo hautokabiliwa na upinzaninmkubwa 2. Dhamilia kutolazimika kutumbukiza pesa yote katika awamu ya kwanza, hata kama mambo yakionekana kuwa mazuri jidhibiti kushambulia soko kwa nguvu mno, jipe muda kujifunza. Usalama wa biashara yako ni pesa taslimu. Kwa uzoefu wangu unaweza kupanga kila kitu vizuri lkn kuna mambo yasiyotarajiwa huweza kuibuka… ili kukabiliana na changamoto yeyote utakuwa jasiri na salama tu ukiwa na pesa.HabarI wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mil 70 inatosha kufungua pharmacy ya jumla location Dodoma?
Mtoa mada ajiadhari nawewe kwani unaweza kumpoteza kwakukusudia au bila kukusudia.. Kama dhamira ikiwa ninkuuza 50M kwa mwezi afu Kariakoo hiyo ni hasara. Lkn pia 70M hata akiwa na jengo lenye miundombinu tayari kwa 70M hawezi kukidhi soko.. sipajui Dododoma lkn napachukulia kama pahala ambapo hapana ushindani mkubwa hivyo pahala pa hivyo ni chaguo sahihi kwani atawalenga zaidi watu wa DLDM hivyo hatolazimika kuwa na aina nyingi za dawa. Lkn pia anaweza kuuza rejareja piaWengine Tupo kwenye gemu la dawa muda Sasa Kuna mengi tunayajua kwa ku dedicate muda na subra + working hard spirit bila kumsahau mwenyezi Mungu..
Kuna kipindi jina lilikua kubwa Sana dsm ninayo team uki iweka hiyo 70m una transform life forever..naijua industry in and out kuanzia brands za dawa na everything kwenye hii industry
Wewe utadili na PESA na mizigo customer base ma strategies nakuhakikishia utaiona faida ie. Nina customer base ya ku sale not less than 50m cash monthly...
Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment
Kama upo seriously nicheki tunaweza fanya kitu Raman ya vita yote ninayo ni ku copy na paste..
Kupitia huu Uzi Kuna ambao nimewasiliana nao na wamesha anza business na wanafanya vizuri.Mtoa mada ajiadhari nawewe kwani unaweza kumpoteza kwakukusudia au bila kukusudia.. Kama dhamira ikiwa ninkuuza 50M kwa mwezi afu Kariakoo hiyo ni hasara. Lkn pia 70M hata akiwa na jengo lenye miundombinu tayari kwa 70M hawezi kukidhi soko.. sipajui Dododoma lkn napachukulia kama pahala ambapo hapana ushindani mkubwa hivyo pahala pa hivyo ni chaguo sahihi kwani atawalenga zaidi watu wa DLDM hivyo hatolazimika kuwa na aina nyingi za dawa. Lkn pia anaweza kuuza rejareja pia
kaka Dr am 4 real PhD can we talk serious about hii issue??.Wengine Tupo kwenye gemu la dawa muda Sasa Kuna mengi tunayajua kwa ku dedicate muda na subra + working hard spirit bila kumsahau mwenyezi Mungu..
Kuna kipindi jina lilikua kubwa Sana dsm ninayo team uki iweka hiyo 70m una transform life forever..naijua industry in and out kuanzia brands za dawa na everything kwenye hii industry
Wewe utadili na PESA na mizigo customer base ma strategies nakuhakikishia utaiona faida ie. Nina customer base ya ku sale not less than 50m cash monthly...
Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment
Kama upo seriously nicheki tunaweza fanya kitu Raman ya vita yote ninayo ni ku copy na paste..
Sasa kwani usifungue yako kiongozi??Wengine Tupo kwenye gemu la dawa muda Sasa Kuna mengi tunayajua kwa ku dedicate muda na subra + working hard spirit bila kumsahau mwenyezi Mungu..
Kuna kipindi jina lilikua kubwa Sana dsm ninayo team uki iweka hiyo 70m una transform life forever..naijua industry in and out kuanzia brands za dawa na everything kwenye hii industry
Wewe utadili na PESA na mizigo customer base ma strategies nakuhakikishia utaiona faida ie. Nina customer base ya ku sale not less than 50m cash monthly...
Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment
Kama upo seriously nicheki tunaweza fanya kitu Raman ya vita yote ninayo ni ku copy na paste..
kaka mbona mna uliza maswali rahisi kwenye, kitabu chenye title ngumu??.Sasa kwani usifungue yako kiongozi??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
""Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment""kaka mbona mna uliza maswali rahisi kwenye, kitabu chenye title ngumu??.
vipi Kama anayo, au Changamoto za mtaji??. au mpaka aseme nina pharmacy!!
nime ona pia, huwezi jua ana lengo lipi??. Labda kuhama sekta hiyo, au ana taka kuingia ubia.""Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment""
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tafuta hela, achana na stress za kipumbavuIla Liverpool VPN una staafu lini uenyekiti wa kataa ndoa??, nami katibu mwenezi nipande cheo??.
au na wewe una itikadi za sultan fm😃
hahaha, mwenyekiti ume panic ghafla.kTafuta hela, achana na stress za kipumbavu
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Yanga bingwaTafuta hela, achana na stress za kipumbavu
#YNWA
#YANGA_BINGWA
😊😊 Mdogo angu bwanaa umejibu vyema.kaka mbona mna uliza maswali rahisi kwenye, kitabu chenye title ngumu??.
vipi Kama anayo, au Changamoto za mtaji??. au mpaka aseme nina pharmacy!!
Sawa, halafu can we talk serious about hiyo issue.😊😊 Mdogo angu bwanaa umejibu vyema.
Sina muda wa kuanza argument nae wala kujielezea.
Asaante kwa kunisaidia kujibu.
Bila,Sawa, halafu can we talk serious about hiyo issue.
sawa, namalizia Jambo kidogo.Bila,
shaka mdogo angu your welcome muda wowote..