Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??Mil 70?
Frame akibahatika chini sana hiyo30 imeisha...
maximum frem atalipia laki tano kwa mwezi hadi laki mbili na nusu kwa chini sasa piga mara 12 au x miezi 6 mkupuo. ila matengenezo ya ndani kuanzia shelves za kipharmacy (sio za kiduka la dawa muhimu) na maboresho yoote, haipungui 10 - 15. bado matengenezo kwa nje kama ubao wa tangazo la uwepo wa pharmacy (digital), bado hajaweka akiba ya kulipa wafanyakazi si chini ya wawili watakaopokezana kwa zamu, na pia, kama wewe sio mfamasia jua sio chini ya 1m utakuwa unalipia cheti cha mfamasia kukitundika pale. iliyobaki ni mtaji, manake yeye anasema ni duka la jumla.Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??
Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri
Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao
Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo
Frame hakuna kkoo ya kuuza dawa za jumla kwenye lile eneo utapata kwa laki tano.maximum frem atalipia laki tano kwa mwezi hadi laki mbili na nusu kwa chini sasa piga mara 12 au x miezi 6 mkupuo. ila matengenezo ya ndani kuanzia shelves za kipharmacy (sio za kiduka la dawa muhimu) na maboresho yoote, haipungui 10 - 15. bado matengenezo kwa nje kama ubao wa tangazo la uwepo wa pharmacy (digital), bado hajaweka akiba ya kulipa wafanyakazi si chini ya wawili watakaopokezana kwa zamu, na pia, kama wewe sio mfamasia jua sio chini ya 1m utakuwa unalipia cheti cha mfamasia kukitundika pale. iliyobaki ni mtaji, manake yeye anasema ni duka la jumla.
Watu wanapenda kutisha watu frame kkoo bei za ajabu,Mnapenda kutisha watu jamani frame 30M??
Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri
Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao
Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo
kumbe ni kariakoo? hapo frame kwa mwezi si chini ya 2m.Frame hakuna kkoo ya kuuza dawa za jumla kwenye lile eneo utapata kwa laki tano.
Mkuu dawa hazina bei hiyo 70M inatosha trust me!!!
Pamefungwa PM kwako, unaweza kunipm ww kwanza?Karibu
Nyinyi ndo hamjawahi kua kwenye game, hapo kkoo nilikua napaogopa ila nimeingia kwenye game uhalisia ni tofauti kabisa Yani, frame za milion 30 kwa mwaka na vilemba ndio zipo, ila hata za milion 15 kwa mwaka zimejaa tele sana mpaka zinamwagikaMil 70?
Frame akibahatika chini sana hiyo30 imeisha...
Mtaji kariakoo kwa wastani ni sh ngapi?Kariakoo pale kwa wazito. Wale wenye mitaji mikubwa. Wengi ni importers - yani huagiza dawa moja kwa moja toka nje ya nchi au kiwandani. Kwa milioni sabini ndogo haitoshi kununua dawa kiwandani moja kwa moja ili ushindani na wenzako. Tutafuta location ya nje ya mji wewe ndio uwe nyngumi huku.
Ukihitaj cheti na huduma ya mfamasia nichek PM
Tunakopa Mdogo wangu.Wazee mnafanyaje mpaka hela inafika Milioni 70?
Daah tutafika lini sijui idea za biashara tunazo mitaji hatuna. Kukopa tunakwamba hatuna dhamana.Tunakopa Mdogo wangu.
Kuna siku utapata tu. Zidisha juhudi ya kutafuta (kipatao halali) na kumwomba Mungu. Binafsi nimewahi kukopa hadi milioni 95.Daah tutafika lini sijui idea za biashara tunazo mitaji hatuna. Kukopa tunakwamba hatuna dhamana.
Yote kwa yote hongera, kuna stage ukifika ni ya kujipongeza.
Milioni 70 kando kando ya mji ni nyingi tu na jumla unafanya na faida kubwa unapata.Mtaji kariakoo kwa wastani ni sh ngapi?
Wazo lako ni zuri ila hadi hiyo miji inakosa upinzani ina maana mzunguko mdogo. Kwa hiyo hela aende palepale Kkoo kupambana.Inatosha ila kwanini usingue kwenye miji ambayo haina upinzani??
Hahahahahaha we jamaa hutaki Tsh 50m monthly? Hiyo environment unayoenda itakupa 50m per month? Acha kuleta ujanja hapa.Wengine Tupo kwenye gemu la dawa muda Sasa Kuna mengi tunayajua kwa ku dedicate muda na subra + working hard spirit bila kumsahau mwenyezi Mungu..
Kuna kipindi jina lilikua kubwa Sana dsm ninayo team uki iweka hiyo 70m una transform life forever..naijua industry in and out kuanzia brands za dawa na everything kwenye hii industry
Wewe utadili na PESA na mizigo customer base ma strategies nakuhakikishia utaiona faida ie. Nina customer base ya ku sale not less than 50m cash monthly...
Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment
Kama upo seriously nicheki tunaweza fanya kitu Raman ya vita yote ninayo ni ku copy na paste..
Share hizo idea na sisi tuzione kama nzuri ili siku tukipata hela tujilipueDaah tutafika lini sijui idea za biashara tunazo mitaji hatuna. Kukopa tunakwamba hatuna dhamana.
Yote kwa yote hongera, kuna stage ukifika ni ya kujipongeza.
Aiseee.Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
Kafungue kariakoo halafu uza Jumla hiyo hela inatosha, Dodoma haitokulipa mzunguko mdogo naongea kwa uzoefu.
Pharmacy jumla kariakoo inalipa ndo maana sasa hivi wakina Robby One wakina Vunja wako huko!!
😂😂😂Wazee mnafanyaje mpaka hela inafika Milioni 70?
Hujui ulicho andika na Sina Cha kukusaidiaHahahahahaha we jamaa hutaki Tsh 50m monthly? Hiyo environment unayoenda itakupa 50m per month? Acha kuleta ujanja hapa.
Analeta mawazo ya watu wa forex humu🚮Hahahahahaha we jamaa hutaki Tsh 50m monthly? Hiyo environment unayoenda itakupa 50m per month? Acha kuleta ujanja hapa.
Mkuu simara naomba ni dm please naona ume lock dm nashindwa kukutumia messageMnapenda kutisha watu jamani frame 30M??
Nilipata frame kwa mwezi 1M na ilikua location nzuri
Nikapata connection MSD ingawa ukienda kichwa kichwa hawatoi dawa mpk kwa mawakala wao
Angalizo: ni biashara inayohitaji usimamizi sio Unaishi Mbeya duka kkoo