Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

Pesa uliyonayo si nyingi kama utakurupuka
 
Mtoa mada ajiadhari nawewe kwani unaweza kumpoteza kwakukusudia au bila kukusudia.. Kama dhamira ikiwa ninkuuza 50M kwa mwezi afu Kariakoo hiyo ni hasara. Lkn pia 70M hata akiwa na jengo lenye miundombinu tayari kwa 70M hawezi kukidhi soko.. sipajui Dododoma lkn napachukulia kama pahala ambapo hapana ushindani mkubwa hivyo pahala pa hivyo ni chaguo sahihi kwani atawalenga zaidi watu wa DLDM hivyo hatolazimika kuwa na aina nyingi za dawa. Lkn pia anaweza kuuza rejareja pia
 
Kupitia huu Uzi Kuna ambao nimewasiliana nao na wamesha anza business na wanafanya vizuri.
NB.
The blood supply in your penis is much greater than the blood supply ii your brain 🧠
Uzi mingine itoshe kuisoma na kupita kimya kimya kuliko kutoa ufafanuzi kudadavua na maoni negative.
 
kaka Dr am 4 real PhD can we talk serious about hii issue??.
 
Sasa kwani usifungue yako kiongozi??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
kaka mbona mna uliza maswali rahisi kwenye, kitabu chenye title ngumu??.

vipi Kama anayo, au Changamoto za mtaji??. au mpaka aseme nina pharmacy!!
""Kwa Sasa natamani ku change environment nipo kwenye organization moja kwenye management team natamani kuchange environment""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…