Milioni thelathini itatosha kununua gari jipya Afrika Kusini?

Milioni thelathini itatosha kununua gari jipya Afrika Kusini?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.

Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza kutumika hapa Tanzania.

Japo hata magari "used" yanapofika hapa Tanzania yanakuwa "mapya", lakini linalokufikia likiwa jipya kabisa, kilomita sifuri, lina ladha yake ya "kipekee"

Milioni thelathini itatosha, hata kama ni IST?
 
Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.

Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza kutumika hapa Tz.

Japo hata magari "used" yanapofika hapa Tz yanakuwa "mapya", lakini linalokufikia likiwa jipya kabisa, kilomita sifuri, lina ladha yake ya "kipekee"

Milioni thelathini itatosha, hata kama ni IST?
C.c Isanga family
C.c Offshore Seamen
 
Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.

Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza kutumika hapa Tz.

Japo hata magari "used" yanapofika hapa Tz yanakuwa "mapya", lakini linalokufikia likiwa jipya kabisa, kilomita sifuri, lina ladha yake ya "kipekee"

Milioni thelathini itatosha, hata kama ni IST?
Hupati ila bajaji zipo pale kwa kanjibay yule mnyaturu wa Singida
 
Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.

Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza kutumika hapa Tz.

Japo hata magari "used" yanapofika hapa Tz yanakuwa "mapya", lakini linalokufikia likiwa jipya kabisa, kilomita sifuri, lina ladha yake ya "kipekee"

Milioni thelathini itatosha, hata kama ni IST?
Unaleta utani jukwaani siyo?
 
Kwanini South Africa?
Umeuliza Rwanda kuhusu VW bei?
Je India?
India wanauza gari mpya bei nafuu kuliko Japan...

Halafu kama issue ni gari mpya Tu
Mbona hapa Tanzania wanauza Renault mpya kabisa haizidi milioni 22??
Mkuu ukifanikiwa kupata picha ya hyo ndinga iweke humu,kumbe kununua brand new inawezekana kabisa
 
Mkuu Asante kwa kuweka hii ya Renault
Vipi kuna aina zingine zinapatikana bongo
Natafuta Rav4 ya 2017 au 18 iwe hybrid sijui inaweza kuwa ngapi

Rav4 hybrid zipo zile maarufu zinaitwa Rav4 Tra... zinaanzia milioni 70 hivi unless upate mtu ashuke...
Kama unataka hybrid nzuri tafuta Harrier hybrid ambayo unaweza lipa kidogo kidogo Kwa miezi 36 pale International motors...Toyota Tanzania...na yenyewe bei ndo hizo hizo 70 more or less...lakini hybrid nzuri ..bei nilizokutajia ni estimated price... zinabadilika
 
Mkuu Asante kwa kuweka hii ya Renault
Vipi kuna aina zingine zinapatikana bongo
Natafuta Rav4 ya 2017 au 18 iwe hybrid sijui inaweza kuwa ngapi

Kuna Toyota Urban cruiser..nayo ni kama Rav4 Tu zipo hybrid na bei nzuri... unaweza pata pale international motors au ukaagiza kutoka India...
Hii urban cruiser hybrid ipo ya India Tu..
Japan hawana hybrid version
 
Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.

Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza kutumika hapa Tz.

Japo hata magari "used" yanapofika hapa Tz yanakuwa "mapya", lakini linalokufikia likiwa jipya kabisa, kilomita sifuri, lina ladha yake ya "kipekee"

Milioni thelathini itatosha, hata kama ni IST?
Ila Magari yanayozalisha south Africa japo ni Toyota lakini sio kama haya ya TZ! South awajawai zalisha Ballon ,vitz au IST😁Yes million 30 unaweza pata gari nzuri ata double cabins kama hii picha. Uzuri wake Kodi utakayolipa ipo chini( utalipa Sadc tax rates)ukiwa Johanesburg-Pretoria kuna mtaa unaitwa Church street. Kama upo Dar ni mtaa mrefuu kama vile toka faya mpaka Ubungo pale kwenye flyover) inasemekana ndo mtaa mrefu kuliko yote Duniani) Durban utapata Japanese made cars mpaka VItz na IST. Nimewai mpeleka mtu kununua gari kwenye hizo sehemu. Tukiwa Durban wakati tunakagua gari- ile yard ni kubwa sana na ina gari zaidi ya 5000! Unatembezwa na colora imekatwa ipo kibanda wazi😂tulipokuwa tunaongea kiswahili kumbe mafundi ni waTZ! Jamaa wakawa so happy wakatuwekea mafuta full tank.(pale wanawekaga 2-5 litters za kutoka mlangoni kisha uende Garage-Sheli ukajiwekee mafuta)Dogo akaendesha mpaka Comesa Lusaka- pale konda wa Tawaqal akalipush mpaka Nakonde Tunduma! Tunduma mdogo mdogo tunaitafuta Kitonga comfort fresh tu tukafika Dar(ila nasikia kwa sasa watakubebea mpaka Zimbabwe boder- Beit bridge -kisha ndo uendeshe by road kwa sababu ya majambazi. Hiyo 30M include all taxes mpaka unafika Dar
 

Attachments

  • 6757EC4D-EA4F-4098-9BCA-E335DAEFAE85.jpeg
    6757EC4D-EA4F-4098-9BCA-E335DAEFAE85.jpeg
    8.7 KB · Views: 19
  • F3CD1A83-E274-43D8-B326-75815E1CA655.jpeg
    F3CD1A83-E274-43D8-B326-75815E1CA655.jpeg
    7.9 KB · Views: 18
Back
Top Bottom