Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Ndugu, naomba picha yake tafadhaliKwanini South Africa?
Umeuliza Rwanda kuhusu VW bei?
Je India?
India wanauza gari mpya bei nafuu kuliko Japan...
Halafu kama issue ni gari mpya Tu
Mbona hapa Tanzania wanauza Renault mpya kabisa haizidi milioni 22??
Huko "nje" uliko hakuna magari yanayouzwa ndugu?Hata hapa umenielewesha vizuri sana ntamtuma mtu wangu akaangalie hapo, mimi niko nje
Renault za indiaKwanini South Africa?
Umeuliza Rwanda kuhusu VW bei?
Je India?
India wanauza gari mpya bei nafuu kuliko Japan...
Halafu kama issue ni gari mpya Tu
Mbona hapa Tanzania wanauza Renault mpya kabisa haizidi milioni 22??
30 ANATAKA MPYA...NI KUJICHOSHA UTANUNUA STARLETRav4 hybrid zipo zile maarufu zinaitwa Rav4 Tra... zinaanzia milioni 70 hivi unless upate mtu ashuke...
Kama unataka hybrid nzuri tafuta Harrier hybrid ambayo unaweza lipa kidogo kidogo Kwa miezi 36 pale International motors...Toyota Tanzania...na yenyewe bei ndo hizo hizo 70 more or less...lakini hybrid nzuri ..bei nilizokutajia ni estimated price... zinabadilika
International motors ni kampuni ya wapi?Rav4 hybrid zipo zile maarufu zinaitwa Rav4 Tra... zinaanzia milioni 70 hivi unless upate mtu ashuke...
Kama unataka hybrid nzuri tafuta Harrier hybrid ambayo unaweza lipa kidogo kidogo Kwa miezi 36 pale International motors...Toyota Tanzania...na yenyewe bei ndo hizo hizo 70 more or less...lakini hybrid nzuri ..bei nilizokutajia ni estimated price... zinabadilika
Tanzania...ndo Toyota TanzaniaInternational motors ni kampuni ya wapi?
Mkuu, watanzania ninwatu wa ajabu sana. Mtanzania anaweza kuagiza gari Japan hadi la Milioni 50 ila anaogopa kuagiza spare parts isiyozidi hata laki 5 nje ya nchi🤣🤣🤣Kwanini South Africa?
Umeuliza Rwanda kuhusu VW bei?
Je India?
India wanauza gari mpya bei nafuu kuliko Japan...
Halafu kama issue ni gari mpya Tu
Mbona hapa Tanzania wanauza Renault mpya kabisa haizidi milioni 22??
So kwa 30m naweza pata Pick-Up?Ila Magari yanayozalisha south Africa japo ni Toyota lakini sio kama haya ya TZ! South awajawai zalisha Ballon ,vitz au IST😁Yes million 30 unaweza pata gari nzuri ata double cabins kama hii picha. Uzuri wake Kodi utakayolipa ipo chini( utalipa Sadc tax rates)ukiwa Johanesburg-Pretoria kuna mtaa unaitwa Church street. Kama upo Dar ni mtaa mrefuu kama vile toka faya mpaka Ubungo pale kwenye flyover) inasemekana ndo mtaa mrefu kuliko yote Duniani) Durban utapata Japanese made cars mpaka VItz na IST. Nimewai mpeleka mtu kununua gari kwenye hizo sehemu. Tukiwa Durban wakati tunakagua gari- ile yard ni kubwa sana na ina gari zaidi ya 5000! Unatembezwa na colora imekatwa ipo kibanda wazi😂tulipokuwa tunaongea kiswahili kumbe mafundi ni waTZ! Jamaa wakawa so happy wakatuwekea mafuta full tank.(pale wanawekaga 2-5 litters za kutoka mlangoni kisha uende Garage-Sheli ukajiwekee mafuta)Dogo akaendesha mpaka Comesa Lusaka- pale konda wa Tawaqal akalipush mpaka Nakonde Tunduma! Tunduma mdogo mdogo tunaitafuta Kitonga comfort fresh tu tukafika Dar(ila nasikia kwa sasa watakubebea mpaka Zimbabwe boder- Beit bridge -kisha ndo uendeshe by road kwa sababu ya majambazi. Hiyo 30M include all taxes mpaka unafika Dar
Mkuu, hii ya kulipa miezi 36 utaratibu wake upoje?Rav4 hybrid zipo zile maarufu zinaitwa Rav4 Tra... zinaanzia milioni 70 hivi unless upate mtu ashuke...
Kama unataka hybrid nzuri tafuta Harrier hybrid ambayo unaweza lipa kidogo kidogo Kwa miezi 36 pale International motors...Toyota Tanzania...na yenyewe bei ndo hizo hizo 70 more or less...lakini hybrid nzuri ..bei nilizokutajia ni estimated price... zinabadilika
Mkuu, hii ya kulipa miezi 36 utaratibu wake upoje?
Fuel consumption yake inasemaje? Km ngapi kwa Litre?
Ndio mkuuSo kwa 30m naweza pata Pick-Up?